Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?

pasco,pasco usitake kutufanya watoto wadogo.
rais ajae kupitia chadema hatetutegemei huruma ya slaa wala fujo za zitto,huyu kijana amekuwa na mtandao wa hatari nje ya chama chake hayupo kwa maslahi ya chadema.
wakati chama kikipakwa matope na ccm yeye amekuwa kimya na wakati mwingine akila na kunywa na maadui kisiasa wa chama chake,huyu anaandaliwa kukiua chama chake kwa kujua au kutokujua.
mimi nilikuwa namsapoti sana zitto na yeye pamoja na dr slaa ndio walionifanya nikaanza kuuamini upinzaqni tanzania kwa mara ya kwanza.

ZITTO HAAMINIKI TENA KWA WAPENDA MAGEUZI.
 
Just leave Zitto alone...na nyie mko obssessed with the guy, kila siku zitto zitto eeh!! mpaka mnaboa sasa
 
Pasco Kama 2010, CHADEMA ikiwa na mgombea wake wa Urais, Zitto aliamua kumpigia kampeni JK, na kumwacha kumpigia kampeni mgombea wa chama chake, ni nini 2015 asipoteuliwa yeye, kitakachomfanya ampigie kampeni mgombea aliyeteuliwa na chama? Tunamtaka kiongozi mwadilifu, muwazi, mwenye msimamo unaoeleweka, asiye ndumilakuwili wala mnafika, na siyo mass mobilizer maana ikulu huendi kufanya kazi ya kuhamisisha michango bali kuongoza kwa kufuata sheria na kanuni. Katiba yetu ipo wazi, hustahili kuhonga wala kuhongwa, huyu anaanza kuhonga waandishi wa habari, akiwa rais itakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye red sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo, umesema umefanya madhungumzo "off record" na Dr Slaa na hutaki kuweka hapa hayo madhungumzo, kwa nini umeleta hii thread kama unaficha mlichozungumza?
Hapo ktk blue unajisemea wewe mwenyewe kwamba unaufahamu msimamo wa Dr Slaa kuhusu Uraisi, alafu unashawishi watu wamuunge mkono Zitto?
Ukisikia waandishi makanjanja ndio wewe, Pasco wa JF + Lowasa
 
Mwambie Zitto aoe kwanza ndo aje kutangaza nia, Hatutaruhusu Rais kapera.

0
 
Hivi na iwe kweli mh zitto awe na nia ya kugombea urais 2015 kuna tatizo gani kwani ndivyo ilivyo siasa chama ndio kitakachoamua vipi leo mnaanza kutoka mapovu ya midomo hata wewe kama cfa unazo sio mbaya kuonesha nia yako au kwakua zitto hatoki upande ule +
 
Kufuatia mimi kuufahamu msimamo wa Dr. Slaa, lets support Zitto or anybody else!, I wish Zitto all the best!. Wasalaam.
Naona kama vile Dr Slaa, hatazungumza nawe utaendelea kubikia na WOSIA wake. Kimsingi si kuwa watu hawamuingi Zitto, ila ni kama taratibu anazotumia kufikia malengo fulani fulani hivi, ndio yenye kubishaniwa. Wengine wanaiangalia hii hali ambayo ni "fragile" kuwa kila mmoja akijiinua tu, inaweza kuleta mipasuko mikubwa na yote waliojikusanyia mwisho wa siku yakawa sifuri. Kwakuwa wote (Zitto akiwa front line) wamekijenga sana chama, kwanini wasiendelee kusimama pamoja kufikia lengo la kuiangusha ccm? Mimi nitakuwa na fursaha sana pale cdm itakaposimama na kusema kuwa kwa vikao vya chama ikiwa ni pamoja na "caucus" zake, jina la aliyeteuliwa ni fulani! Akiwa Zitto au yeyote, itakuwa furaha kubwa. Cha msingi ni kuwa uwe msimamo wa pamoja pasipo kutengeneza mazingira ya kukiyumbisha chama katika nyakati hizi za hatari. Wasalaam aleykum!
 
Me naona we pasco una unasumbuka tu wala haujaelewa kwa nini zitto ana laumiwa na kama umesoma majibu yake ana pingana na wewe unavyo mtetea!

Huu si wakati wa kuzungumzia swala la urais bali ni wakati wa chama kujinga na hakuna tatizo mtu kuwa dhamira ya kuwa rais ni haki ya kila mtu na hata kama ujasema msimamo wa Dr ni kuwa rais tuna jua ndio unacho maanisha!

Jiulize njia anyoitumia zitto na njia ana yoitumia Dr ndio utajua nani mwenye busara.

Tunajua kabisa unamsupport zitto kwa manufaa yako lakini huwezi kuona kama utaratibu alio utumia sio mzuri kwani nia yetu ya kuivuruga cdm imeshajulikana.

Sikufichi pasco wewe ni mnafiki sana hadi machoni mwako huna haibu.
 
Hivi na iwe kweli mh zitto awe na nia ya kugombea urais 2015 kuna tatizo gani kwani ndivyo ilivyo siasa chama ndio kitakachoamua vipi leo mnaanza kutoka mapovu ya midomo hata wewe kama cfa unazo sio mbaya kuonesha nia yako au kwakua zitto hatoki upande ule +

usitake kuchafua mjadala maana hatutaki matusi kabisa tuna changia kwa busara.

Naomba niishie hapa maana najua nia yenu.
 
huu ndio upuuzi tusioutaka humu ndan wewe peke yako ndio unajua ukweli juu ya dr slaa na hutaki kuusema hapa na wakati huo huo unasema kwa kuwa unaujua ukweli wa dr slaa juu ya hatima ya urais basi tumsapot zitto bila kutwambia hicho UMEKATA KIU YANGU
 
Speech is silvern but silence is golden.Zitto unatakiwa kupima na kuomba ushauri ili usipotee kirahisi kwani dhahiri kama wanachama tunatambua mchango wako ila ni lazima ujichunge kuhusu `self disclosure and social intergration` . Hata kama Dr.Slaa hatakuwa na nia,pia kwa kuzingatia haki ya mwanachama kuhusu kugombea post yoyote nadhani kuna haja ya wewe kutulia kama Dr.Slaa,Mbowe na Prof.Baregu otherwise ukumbuke ile methali ya kiswahili-Ngoma ikivuma sana hupasuka !
 
Bado namuunga mkono Zitto kwa hili. Kwasababu tunataka upinzani kwenye mbio za urais chadema. Asipite Slaa peke yake tu, kuwe na movement hii ndio itakuwa ukomavu wa kisiasa. Tukubali chama kimekua na wengine pia wanaotaka urais waruhusiwe hiyo ndio demokrasia. Nashangazwa sana na wanaompinga Zitto eti kwa miaka hii Slaa apite tu bila kupingwa khaaa. Zitto aachwe wapiga kura wataamua.
 
Mawazo ya EDSON na yangu samesame,pili kama slaa hatagombea sitopiga kura kwa mwingine.
 
Kama KWELI akina Mdee na Nassari walitaka yale maneno, Zito a-mute tu na asiitoe ile video....unless yeye ni mhariri wa gazeti la MWANANCHI
 
Zitto AMEKUWA KIGEUGEU kwa sasa haaminiki siku zilizopita alikuwa ni mzuri ila kwa sasa kuna walakini kwani UBINAFSI,UMIMI ndo umemtawala.
 
Nikwambie tu Pasco, huku kutangaza nia mapema kunajenga makundi ndiko kulikoipeleka CCM hapa ilipo (mapandemapande) na kusababisha taifa kutokuwa na mwelekeo(kwa sababu kila mtu yupo busy kuhangaikia kundi lake kuliko taifa), mliyoyafanya CCM kamwe msitake yatendeke CDM, na kama mpo busy kumhadaa Zitto ili mtengeneze makundi ndani ya chadema mtashindwa
 
Back
Top Bottom