Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
- Thread starter
- #201
Mkuu Bopwe, hivi mpaka sasa wewe bado hujakijua kinachoendelea chini kwa chini ndani ya Chadema?!. Zitto kosa lake kubwa niPasco kwa ufupi mada yako inaomesha hali halisi itavokua 2015. Yaani :
Chadema=wakristo
Cuf= waislamu
Ccm= wakristo + waislam
Ni wazi mshindi anajulika hivo wazo lako kwa chadema kumsimamisha Zitto ni stategy inayoweza kubadilisha fomula hio hapo juu. Hii ni kwa wale wenue kuona mbali na kufahamu siasa za ushindani na namna ya kujipatia ushindi
hili na ameisha hukumiwa kifo ndani ya Chadem!, kinachoendelea ni kufuatwa tuu kwa sheria , taratibu na kanuni za kumvua uanachama!, that's it!.
Pasco.