Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Kumpiga chura teke ni kumuongezea hatua. Zitto hana tofauti na chura, apuuzwe.
 
Unadhan Kamati kuu itampinga mtei wakat mkwe wao? huyo mzee hana lolote anataka mwanae akae ikulu sasa anaona zito ndo kikwazo chama cha familia na serikal mnataka ya family...pumzka we mzee mda wa vijana huu...zito kamua baba

Shida hii inawakabili watu wengi sana, badala ya kujadili hoja unaanza kumjadili aliyetoa hoja! Definitely you don't qualify to be a great thinker!
 
Kwa hiyo ndani ya Chadema ni marufuku kutangaza kugombea urais.
 
Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonya mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.

Mzee Mtei amesema amemshauri mara kadhaa Zitto umuhimu wa kutulia kama wenzake ndani ya chama na kukijenga chama lakini mbunge huyo amekuwa mkaidi na hasikii.

Pia Mzee Mtei amesema endapo mbunge huyo ataendeleza harakati zake za kutaka umri wa Urais ushuke hadi miaka chini ya 40 ili tu yeye apate nafasi ya kugombea basi atakuwa ni mbinafsi wa kupindukia na mwenye uroho mkubwa wa madaraka.

Akijibu madai hayo ya Mzee Mtei, Zitto Kabwe amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Source: Mwananchi Jumamosi.

My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.

Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.

Jamani mtu kutangaza nia mapema si jambo baya, narudia si jambo baya kwasababu umma unapata muda wa kumjadili na kujua undani wake. Je Zitto kutangaza kugombea 2015 ni busara?

Jibu: Ni HAPANA. Kwanini?

  1. Katiba haimruhusu kugombea kwa mujibu wa umri wake, na mbaya zaidi anaendelea kusema katiba ibadilishwe ili aweze kugombea! Kauli hii ndo imenifanya nijiulize, je akimaliza vipindi viwili kama rais hatasema tubadilishe katiba ili agombee tena?
  2. Kwa muda huu mtu anayetaka kuwa rais kupitia vyama vya upinzani ikiwemo CDM na kama yupo serios inabidi atumie muda wake kujenga chama huko vijijini, jambo ambalo Zitto amekuwa akilalamiwa na watu wengi kwa kujitenga kwenye ujenzi wa chama (i.e M4C).

Je Zitto anaweza kuwa rais mzuri kwa Tz?????? Hilo niwaachia watanzania wenye busara wapime na waamue wenyewe!


Nawaogopa sana waroho wa Madaraka, and trust me; uroho wa madaraka uwa haondolewi na vipindi viwili vya urais tu.

For the RECORD: Siamini kuwa, mtu mwenye umri chini ya miaka 40 hawezi kuwa rais bora. Hii ni imani potofu na itakuwa vyema suala hili kuangaliwa kwenye uandikaji wa katiba mpya!
 
Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonya mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.

Mzee Mtei amesema amemshauri mara kadhaa Zitto umuhimu wa kutulia kama wenzake ndani ya chama na kukijenga chama lakini mbunge huyo amekuwa mkaidi na hasikii.

Pia Mzee Mtei amesema endapo mbunge huyo ataendeleza harakati zake za kutaka umri wa Urais ushuke hadi miaka chini ya 40 ili tu yeye apate nafasi ya kugombea basi atakuwa ni mbinafsi wa kupindukia na mwenye uroho mkubwa wa madaraka.

Akijibu madai hayo ya Mzee Mtei, Zitto Kabwe amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Source: Mwananchi Jumamosi.

My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.

Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.
....commender wa first order anatakiwa kuwa mkweli na mwenye kumaananisha anachokisema...anatakiwa kuwaongoza watu wake kwa kutokea mstari wa mbele, na si kwingineko...hili suala la nia ya kugombea uraisi kupitia mo'vt inavyoelekea limeshaanza kututafuna....haieleweki, ikimaananisha nini wakati ule ilipotolewa kauli kuwa mwisho wa uchaguzi mmoja ni mwanzo wa maandalizi ya uchaguzi unaofuata...kibaya zaidi, ni kama tumemuogopa zzk kwa kiwango cha kutaka hata kuifinya demokrasi ndani ya mov't...yeye na atangaze nia, na kama kuna wengine wana nia ya kugombea watangaze pia.(.kwa nafasi zote, uraisi, ubunge, udiwani, uenyekiti wa tawi, mpaka taifa nk.)...
 
My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.

Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.
Mkuu Molemo, alichofanya ZZK sio kutangaza kugombea urais kupitia Chadema, bali kutangaza nia ya kuiomba Chadema kumpitisha kama mgombea wa Chadema 2015!. Naomba sana utofautishe kati ya "kutangaza nia" na "kutangaza kugombea"!.

ZZK alipotangaza nia, mimi nilimuunga mkono na kutangaza nia ni jambo jema na jambo la kheri na nikatoa wito kabisa kuwa kila mwenye nia na aitangaze!, hivi kuna ubaya gani?. Hebu kanisome hapa Urais 2015 tusimlaumu Zitto; Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa ...

Lakini ZZK alipojitangaza rasmi kuwa hagombei tena ubunge na badala yake "atagombea urais kupitia Chadema" nilimpinga!. Nilimwambia wazi, that was wrong!, hakupaswa kujitangazwa, bali alipaswa tuu kuonyesha vitendo vya ki presidential candidate ndani ya chama, ili wenzake ndio wamuone na kumuomba agombee na sio kujipigia debe na hapa nilimtahadharisha Urais wa ZZK 2015: Ngoma Ikivuma Sana...!. Wenye uwezo wa kumtangaza mgombea ni Chama na sio mwan achama individual!.

Ila lazima mkubali, mkatae, ndani ya Chadema kuna double standards za hali ya juu!, kuna baadhi ya mambo yakifanywa na kina fulani ni halali, ila wakifanya kina fulani inageuka ningwa!.

Tatizo ni kuwa ndani ya mioyo ya wana Chadema wengi, wanaye mgombea wao mioyoni mwao, sio tuu kuwa mgombea huyo anakubalika sana kwao, bali anaabudiwa!. Kitendo cha ZZK kujitokeza anaonekana kama kumkufuru huyo mungu mtu anaye abudiwa!. Na kwa wasio jua, mimi naujua msimamo wa huyo mgombea wenu kipenzi kuhusu kugombea au kutogombea urais na usome hapa Msimamo wa Dr. Slaa Kwenye Urais 2015 ...

Unashauri kamati kuu itoe miongozo, hivi kumbe Chadema haina demokrasia ya kila mwanachama yoyote kugombea nafasi yoyote ni mpaka kamati kuu itoe miongozo!.

Tena kwa vile ZZK ni rafiki yangu, na kabla hata ya huo urais kuna uchaguzi wa viongozi wa Chadema, nitamshauri agombee tena Uenyekiti na this time hakuna kujitoa mpaka kieleweke!.

Hivi nyinyi wapenzi wa Chadema, bado hamjajua ZZK ndio mtaji wenu pekee wa ushindi 2015?. Jee mnajua CCM itamsimamisha Membe?, sasa kwa vile huyo mgombea kipenzi wetu na Membe hawana tofauti katiuka zile kampeni za "kivile", na hamjajua kwa mujibu wa katiba mpya, ili chama kishinde urais wa JMT, lazima kipate angalau theluthi moja ya kura za Visiwani!, hivi huyo mgombea wenu kipenzi, kwa siasa zetu "zile", hizo theluthi ya kura kutoka visiwani zinatokea wapi?!.

ZZK anakubalika sana kutokana na kuendesha "strategic politics" kwa urafiki wake na January Makamba, atazivuna kura zote za vijana wa CCM!, kwa urafiki wake na Jussa, atazivuna kura zote za CUF kule visiwani. Kwa usomi wake, atazivuna kura zote za vijana/wasomi na wataka badiliko ya kweli with clear goals na right strategies!.

Nashauri, baada ya Mzee Mtei kukikabidhi chama kwenye "safe hands" za mkwewe, his advisory role yake ibaki limited kwa insiders tuu wa chama na sio ku express his public opinion publically as if chama bado ni chake!. Heshima yake kama muasisi ipo pale pale, lakini kwa sasa chama sio chake tena, sasa chama ni cha wanachama!, tena Mwenyekiti Mbowe anatakiwa kujipambanua kabisa kwa hili kuwa "amekata kabisa zile mothers apron strings" ili isje onekana kina Mzee Edwin Mtei ndio bado wanaendesha chama by proxy kupitia kwa wakwe zao!.

Ili chadema kuonysha ina "practice what it preach" lazima iache democracy i prevail!.
Go ZZK Go!.

Pasco.
 
Amefufuka kumtoa Kyasaka kwenye NGO yangu.
Naona Magamba mnamtetea sana kijana wenu kwani kazi mlomtuma anakaribia kuikamilisha... Kama mnamuona wa muhimu sana si mumkaribishe kwenye chama chenu mapovu ya nini? Mbona kwenu mlisema anayetaja kugombea urais sasa atemewe mate??
 
Mkuu Ritz;
Nakumbuka juzi Aweda alidai ndani ya Chadema hakuna makundi mambo ni mswano tu; leo molemo anatuhabarisha mwenye chama mzee Mtei hapendezwi na mh. Zitto na harakati zake za kugombea uraisi, na nimeshtushwa na hii kauli ya mh. Mbowe kutumia 72% ya pesa yaani kigezo cha yeye aachiwe kugombea uraisi; kwa mantiki hii huu mradi apate kurejesha pesa zake hivi kweli Chadema inaweza ni suluhisho la matatizo ya Tanzania? Mkuu hawa jamaa ni mafisadi kama wale wanaowapigia kelele hii ni hatari sana kwa mustakabli wa taifa letu.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Zitto namkubali, ila suala la kujibizana na wazee waasisi wa chama simuungi mkono. Zitto 2015.
 
Kwa hiyo ndani ya Chadema ni marufuku kutangaza kugombea urais.
We jamaa mbona huwa unapenda kupindisha maneno? Cdm kila mtu anahaki ya kugombea huo urais tatizo muda muafaka ndo bado. Huyo zzt hakuna anae mzuia ila asubili muda huu ni kujenga chama tu.
 
Mkuu Ritz;
Nakumbuka juzi Aweda alidai ndani ya Chadema hakuna makundi mambo ni mswano tu; leo molemo anatuhabarisha mwenye chama mzee Mtei hapendezwi na mh. Zitto na harakati zake za kugombea uraisi, na nimeshtushwa na hii kauli ya mh. Mbowe kutumia 72% ya pesa yaani kigezo cha yeye aachiwe kugombea uraisi; kwa mantiki hii huu mradi apate kurejesha pesa zake hivi kweli Chadema inaweza ni suluhisho la matatizo ya Tanzania? Mkuu hawa jamaa ni mafisadi kama wale wanaowapigia kelele hii ni hatari sana kwa mustakabli wa taifa letu.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu naona umeamka naona sasa thread yangu itajaa maana ukiona thread yangu hata kama unaoga unaacha.Kweli CDM ni Lifestyle!
 
Zitto akiona picha za mr dhaifu akiwa Canada akivutwa na vitoroli kupitia farasi naona ndio anachanganyikiwa kabisa kwa tamaa anataka hata kubadilisha birth certificate yake ili isome miaka 42 afikapo 2015

Sio Zitto anayeweweseka na picha za Kikwete ni Dr. Slaa ndio sababu yupo tayari kuwaona akina Mwangosi wakifa kwa tamaa zake uraisi.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
zito sasa naanza kumfananisha na hitler...maana hitler nae alikua na sifa kama hizi, Hakuoa,,, alikua mbishi na mwenye kuamini yeye ndo solution kwa wananchi wa ujerumani. Alikua hakubali kubishiwa na kila analosema yeye basi wengine ndo wafuate...THE FUHRER ALWAYS IS RIGHT
Kama mtaendelea hivi na mambo ya kujigamba kua mimi ndo na faa na huyu afai...basi hata LOWASA atashinda....maana mnaanza kutuuuzi sasa
 
Back
Top Bottom