I Iriora Member Mar 31, 2012 15 0 Mar 31, 2012 #1 Hivi ni kweli siasa ndio kipimo cha huelewa, busara, kukubali kukandamizwa in Tanzania?
kookolikoo JF-Expert Member Mar 9, 2012 2,751 595 Mar 31, 2012 #2 Iriora said: Hivi ni kweli siasa ndio kipimo cha huelewa, busara, kukubali kukandamizwa in Tanzania? Click to expand... hueleweki. una maana gani?
Iriora said: Hivi ni kweli siasa ndio kipimo cha huelewa, busara, kukubali kukandamizwa in Tanzania? Click to expand... hueleweki. una maana gani?
I Iriora Member Mar 31, 2012 15 0 Mar 31, 2012 Thread starter #3 Ninacho maanisha ni kuto kuelewa wanao shabikia CCM 2012 ndio kipimo cha kuelewa cha watanzania kilipo ishia?
Ninacho maanisha ni kuto kuelewa wanao shabikia CCM 2012 ndio kipimo cha kuelewa cha watanzania kilipo ishia?
E ENKOKOROMI Member Mar 19, 2012 50 5 Mar 31, 2012 #4 Iriora said: Hivi ni kweli siasa ndio kipimo cha huelewa, busara, kukubali kukandamizwa in Tanzania? Click to expand... huelewa ndo nini?, sijakupata mkuu
Iriora said: Hivi ni kweli siasa ndio kipimo cha huelewa, busara, kukubali kukandamizwa in Tanzania? Click to expand... huelewa ndo nini?, sijakupata mkuu
I Iriora Member Mar 31, 2012 15 0 Mar 31, 2012 Thread starter #6 Je tuendelee kutegemee uchaguzi ili kupata uongozi bora?
Kurunzi JF-Expert Member Jul 31, 2009 9,274 9,911 Mar 31, 2012 #7 Tunashukuru kwa post lakini mkuu nakushauri si lazima wakati wote unaweza kuanzisha thread uwe uanachangia tu za watu. Samahani lakin haueleweki kabisa.
Tunashukuru kwa post lakini mkuu nakushauri si lazima wakati wote unaweza kuanzisha thread uwe uanachangia tu za watu. Samahani lakin haueleweki kabisa.