Uraia wa Siyoi: Joshua Nassari akata Rufaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Sioni mantiki ya hiyo rufaa! Box la kura litaamua jamani.

Siyo kwamba huoni mantiki bali hujaelewa mada. Ni hivi Siyoi alizaliwa Nairobi Kenya ( So He is a Kenyan by birth) na alipaswa kuukana uraia wa Kenya pindi alipofikisha umri wa utu uzima (18) na pingamizi la Chadema ni kuwa hakuukana na hata kama aliukana hakuna vielelezo. So pingamizi ndo hilo!!!!!!
 
Hata ccm wakimtetea jamani haitutishi ccm meru haipiti labda kwa kuiba kura

Usijaribie silaha vitani mkuu, vitani hupelekwa silaha zilokwisha thibitishwa uwezo wa kuua! usisubiri kufeli kwa jaribio la kuiba kura, use maximum force to minimise casuality!!!!!!
 
Sehemu anapozaliwa mtu na kupewa kinachoitwa bith certificate ina umuhimu mkubwa sana katika Uraia wa mtu huyo kabla hajafikisha miaka 18. Ngoja niwachekeshe kidogo na hili tukio la kweli;
In a mid-air drama this weekend, a woman gave birth to a child onboard a British Airways jet flying from London to Boston. The pilot received permission to land in Nova Scotia when it became clear there was a delivery in progress, but the baby was born before the plane could land.

As far as what goes on this child's birth certificate next to "Place of Birth" and of what country this child can claim citizenship, it all depends on who you ask. In this case, we've got a mother described by the British Airways crew as Egyptian and traveling on a U.S. passport, and a plane that took off in Britain bound for the United States that landed in Canada. So where is this child from?

Almost every country in the world, as well as the United Nations, has procedures and recommendations for how to properly classify the geographic details of an in-air birth. The United Nations considers a child born in-flight to have been born in the airplane's registered country.

Some countries point to the city where the child first disembarked the plane as the place of birth, and to the airplane's registered country as the place of citizenship.

Tafakarini!
 
Katiba hata kama n mbovu lazima ifuatwe,Jaji Lubuva ajidhihirishe kuwa mweledi kwa kutoa hukumu juu ya hili swala,kama ni raia basi atupe na maelezo yanayothibitisha hilo,kama sio amwengue maana lazima tuheshimu taratibu za nchi!
 
Mungi ndio maana nasema kila siku Tanzania ni nchi la lawlessness hakuna ufuataji wa sheria kila mtu anafanya analolitaka na kulipenda haijalishi kama anafuata sheria au la.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom