WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Waacheni wana-meru waamue mtu wanayemtaka! hizi ngojera zingine tumezichoka!
ujenzi wa 'Mnara wa Babel' unafikia pazuri sasa, yetu macho na masikio!Ngoja cc imalize kikao tutajua ukweli . Hata mimi nimesikia hivyo.
Inathibitisha kuwa CCM inazidi kugawanyikaHabari za uhakika kutoka kwa wazito wa NEC ya CCM ni kuwa SIOI SUMARI atapigwa chini na mgombea aliyemfuata Bw. Sarakikya atateuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi wa Arumeru Mashariki.
Hata hivyo mpango huo umeendelea kuwa mgumu kufuatia mashambulizi mapya ya nguvu ambayo mgombea mwingine Elishilia Kaaya ameyaanza. Habari ni kuwa Elishilia amekwaza na jinsi mpango ulivosukwa wa kumzunguka kiasi kwamba watu aliokuwa nao karibu ndio walioshiriki kummaliza ili kumjengea mazingira mazuri SIOI. Hata hivyo SIOI SUMARI inaelezwa na NEC kuwa hana mvuto wa kisiasa kabisa ila kwa nguvu ya koo na washili ana nafasi kubwa ya kushinda kwenye kunyang'anyiro.
NEC imejiridhisha kuwa Sarakikya ana uwezo na mvuto wa kisiasa kuweza kupeperusha bendera ya ccm dhidi ya mgombea wa CHADEMA.
Nadhani kwasasa haina haja ya kuleta habari ambazo hazina uhakika hapa JF....Kikao cha CC kinaanza muda si mrefu kuanzia sasa,nadhani tutapata jina hilo mida ya mchana hivi.