Swala ni Membe kutaka GF wake awe huru Tanzania na California pia. Swala la waaekazaji wazawa ni janja tu wa waziri kupitia hapa kwa masilahi binafsi.
Kwa sisi wengine tungependa kujuwa kuwa mtu akiwa na uraia wa nchi mbili anakuwa analeta hasara gani wala sio suwala la Umembe au nani? Membe ataondoka lakini hali hii ya Watanzania kunyimwa haki yao itaendelea mpaka lini?