Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Uraia wa nchi mbili ni muhimu imefika wakati sasa
Sioni faida yake zaidi ya hasara,
Naomba niongezee lingine hapa
Masilahi binafsi au ya umma
Maslahi binafsi ya mtanzania mara nyingi ndiyo maslahi ya umma Mfano. Mimi nikifanya kazi hapa nitatuma pesa kumsaidia mtoto wa kaka au dada kwenda shule ni maslahi ya binafsi na ni maslahi ya uma. Mimi nikituma pesa za matibabu kwa mzazi wangu Tanzania ni maslahi binafsi na maslahi ya uma. Mimi nikituna pesa ya kujenga nyumba ni maslahi binafsi na maslahi ya uma. Mimi nikija Tanzania kutembea na kutumia pesa ni maslahi binafsi na maslahi ya uma. Mimi nikipata elimu kwa pesa yangu mwenyewe bila ufisadi au kuiba kwenye kampuni ni maslahi ya nchi na maslahi ya uma. Mimi nikipata mwanga kwasababu ya kuishi nje na kukuelimisha hapa ni maslahi ya binafsi na maslahi ya uma. Kuna mengi hivyo hoja ya kusema kwamba kunatofauti ya maslahi ni potofu na isiyoangalia mbali. Maendeleo ya watu binafsi ndiyo yayoleta maendeleo ya nchi.
Kwa sababu hauendani na mabadiliko ya dunia. Nikikwambia kuna mtanzania ambaye ni raia wa UK alinyimwa visa ya kuja TZ utaamini? unadhani huyo atawekeza TZ?
Hebu legeza ubongo wako na ufanye tathmini ya kina kwa nini Wachina, Wahindi na Wanageria wametapakaa duniani kote mpaka wamefungua mabenki yao na TV station zao? Usihitimishe kwa majibu mepesi kama vile population yao.
Umepata kujiuliza why mathalani wahindi faida zao hawaziweki TZ?
Ondokana na mawazo ya kipindi cha vita baridi pamoja na psychological effects za ukoloni.
Uraia wa nchi mbili ni muhimu sana kwa taifa lolote linalotaka kuondokana na umaskini.
Hivi unajua Tanzania inapoteza kiasi gani kwa mwaka kwa sababu ya watu wake kubanwa na uraia wa nchi moja?
'Nadhani bado hujataka kunielewa. Aliyenyimwa Visa ni Mtanzania aishiye Uingereza ambaye alipata uraia wa Uingereza.
Kaka ukiweza kupitia vema hoja zangu na kuyajibu maswali yangu kama great thinker utauona ukweli.
Tufike mahali tuweke nyuma porojo, hisia na majungu yasiyo namaana, ndio maana mwingine anahoji why Membe aseme. Kama wote akili zao bado ni mgando je? Wewe ulitaka aseme nani?
Jana Mmoja kasema Leticia Nyerere anainterest zake sababu ana watoto wanasoma. Jamani haya mawazo yanaiua Tanzania.
Mmoja leo kasema Membe anataka GF wake afaidike, Hebu tuache tarabu katika mambo muhimu.
KUBALINI CHANGES. Nadhani taarabu za jinsi hii zinafaa kule kwa wale jamaa ---------- PIA KAMPEN ZIKIANZA IGUNGA huko kidogo ni uwanja wake
Sioni faida yake zaidi ya hasara,
Ila je mkuu una hitaji uraia wa nchi mbili kufanya yote uliyo orodhesha hapo juu? Hilo ndilo swali.