Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Aminia Mtei....ulyoyasema yana ukweli sana. Itakuwa poa endapo utakutana na mtu anaye jua urafiki. Waweza juana na m2 humu halafu akawa tatizo. Mwngne anakimbilia kwenye malovedavi.
Mimi humu nafahamiana na member kadhaa. Wengne tayari tumeshaonana na wengne bado tunawasliana kwa simu tu...
JF ni mahala pazuri sana kuwepo