tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wasichana wa chuo urafiki wa madesa siyo mzuri, inakuwaje unakuwa karibu na mtu mkiwa chuo tu hasa pale unapohitaji kufundishwa? Ukienda likizo kimya, ukirudi zinaanza sms za "I MISS U", Mara nilipoteza simu, mara ooh nimerenew line, naomba namba yako. Mnaowashobokea watu wa aina hii mnapoteza muda, kwani hakuna urafiki hapo.