Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
mimi napoteza uvumilivu bana! nikiugua kisukari basi sabab ni wewe
ooh! No,... Mmh itabidi tutie chumvi kwenye hicho kisukari.
mimi napoteza uvumilivu bana! nikiugua kisukari basi sabab ni wewe
ooh! No,... Mmh itabidi tutie chumvi kwenye hicho kisukari.
huko bank huyawapata???? barabarabi?, jirani? kanisani? hadi uje huku??? wacha mchezo bana, mke mwema anatoka kwa Mungu na wala hutakiwi kutoa tangazo.
Ooh! Jamani na mimi mpweke. Mmmh!Sijui nikutafute... Aaah!
Hapana, bado nipo nipo kwanza.
Kila la heri mpendwa.
Ooh! Jamani na mimi mpweke. Mmmh!Sijui nikutafute... Aaah!
Hapana, bado nipo nipo kwanza.
Kila la heri mpendwa.
Ooh! Jamani na mimi mpweke. Mmmh!Sijui nikutafute... Aaah!
Hapana, bado nipo nipo kwanza.
Kila la heri mpendwa.
Duh ingenoga mpweke kwa mpweke, mgepwekana.
Bi Husninyo unatutega namna hiyo!!