Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
mie ningejitosa sema niko mbali,inaelekea huna makuu weye,,,:clap2::sick:
Kwa hakika hana makuu: msome vizuri signature yake!
"Am a pimp, and I love pimping . . ."
mie ningejitosa sema niko mbali,inaelekea huna makuu weye,,,:clap2::sick:
katt williams
hii siganture itakukosesha mke akyanani!!
"Am a pimp, and I love pimping . . ."
no probs ..
no need for apology ..
mie ningejitosa sema niko mbali,inaelekea huna makuu weye,,,:clap2::sick:
Wewe binti unaoneka ni msikivu na mnyenyekevu sana, wazazi wako wamekulea vizuri
hahahh lol
thanx for the compliment
hii signature sasa ya weza kukupatia mtu
"Natafuta ubavu wangu wajameni.
Thanks thanks thanks, ile avatar yako unaoneka bado mdogo(samahani lakini) kwa mambo ya ndoa na uchumba au naweza kuzungumza walau neno moja tuu
kweli leo tusiokua na elimu ya baada ya kuzaliwa tumekumbukwa lol
Umeona Maty eeehhhh,yaani huyu kaka ana ubinadamu wa hali ya juu....AGAPE love,si mtu anatubagua tusio soma....utapata mke mwema.....
Kwa hakika hana makuu: msome vizuri signature yake!
"Am a pimp, and I love pimping . . ."
hahahahah lol
suit urself
its a free world my dear ..
( duu huyo sio mimi )lol
Umeona Maty eeehhhh,yaani huyu kaka ana ubinadamu wa hali ya juu....AGAPE love,si mtu anatubagua tusio soma....utapata mke mwema.....
unashangaa nini sasa? peleka CV hilo, jamaa anatafta mtu washirikiane kuujaza ulimwengu.khaa!
unashangaa nini sasa? peleka CV hilo,
woga wako ndio umaskini wako . ile senks nitapata lini? niko desperate ujue.aka! naogopa kuingia choo cha watoto.
woga wako ndio umaskini wako . ile senks nitapata lini? niko desperate ujue.
hao ma mods wenyewe wanakumaind wewe unazani wataleta hako ka parcel kangu ? mimi napoteza uvumilivu bana! nikiugua kisukari basi sabab ni wewesi nilikwambia subiri hadi mods waattach thanks zangu na kisses.