katt williams
Member
- Nov 9, 2009
- 31
- 1
Mimi ni kijana mwenye elimu ya uzamili, na ninaf anyakazi katika benki. Sijaoa na siku zinazidi kwenda na ningependa kuwa na familia.
Kiumbile mimi ni mpana kiasi, sio menene. Nakunywa kidogo na nimtu wa kupenda kutoka.
Natafuta msichana mnene kidogo au wastani, kusema ya ukweli wembambaaa siwezani nao. Awe na elimu ya kuzaliwa/kupambanua mambo. Kabila lolote na mcha Mungu.
Wandugu niko serious sana katika ombi langu naamini kama una ndugu au rafiki umfikishie ujumbe huu.
Kiumbile mimi ni mpana kiasi, sio menene. Nakunywa kidogo na nimtu wa kupenda kutoka.
Natafuta msichana mnene kidogo au wastani, kusema ya ukweli wembambaaa siwezani nao. Awe na elimu ya kuzaliwa/kupambanua mambo. Kabila lolote na mcha Mungu.
Wandugu niko serious sana katika ombi langu naamini kama una ndugu au rafiki umfikishie ujumbe huu.