mr. loner
Senior Member
- Aug 1, 2014
- 168
- 228
No wife, no kids, no job and still live in my mother place.
Wakuu, nimemaliza chuo four years previously baada ya kusoma sana kwa shida kutokana na kutokuwa na wa kunilipia ada. Toka nimemalize mpaka leo sijapata kazi zaidi ya kufanya kazi ngumu kama porter mlima Kilimanjaro na wakati mwingine nikawa napata za kufunga hema mbuga za wanyama ama kufua nguo za wageni, lakini toka rais aanze kubana na kazi zenyewe hazionekani tena.
Nipo kwenye nyumba ya mama till now na miaka ndio inayoyoma sana coz am over 30 saa ingine uwa naona ata aibu kutembea barabarani. Pamoja na hayo sina ata mtoto ila to be honest I wish even to have a single child, girls today are really tough to handle and I can't afford them, nimebaki njia panda sijui nilisoma ya nini ningejua maisha yangewa magumu hivi ningempa mtu mimba kipindi nipo chuo coz kuna fursa nilikuwa nazipuuzia.
Naombeni ushauri wenu wakuu labda utanisaidia na kunipa mwanga maana maisha yamekuwa magumu sana.
Wakuu, nimemaliza chuo four years previously baada ya kusoma sana kwa shida kutokana na kutokuwa na wa kunilipia ada. Toka nimemalize mpaka leo sijapata kazi zaidi ya kufanya kazi ngumu kama porter mlima Kilimanjaro na wakati mwingine nikawa napata za kufunga hema mbuga za wanyama ama kufua nguo za wageni, lakini toka rais aanze kubana na kazi zenyewe hazionekani tena.
Nipo kwenye nyumba ya mama till now na miaka ndio inayoyoma sana coz am over 30 saa ingine uwa naona ata aibu kutembea barabarani. Pamoja na hayo sina ata mtoto ila to be honest I wish even to have a single child, girls today are really tough to handle and I can't afford them, nimebaki njia panda sijui nilisoma ya nini ningejua maisha yangewa magumu hivi ningempa mtu mimba kipindi nipo chuo coz kuna fursa nilikuwa nazipuuzia.
Naombeni ushauri wenu wakuu labda utanisaidia na kunipa mwanga maana maisha yamekuwa magumu sana.