Upweke unanimaliza, naombeni msaada

mr. loner

Senior Member
Aug 1, 2014
168
228
No wife, no kids, no job and still live in my mother place.

Wakuu, nimemaliza chuo four years previously baada ya kusoma sana kwa shida kutokana na kutokuwa na wa kunilipia ada. Toka nimemalize mpaka leo sijapata kazi zaidi ya kufanya kazi ngumu kama porter mlima Kilimanjaro na wakati mwingine nikawa napata za kufunga hema mbuga za wanyama ama kufua nguo za wageni, lakini toka rais aanze kubana na kazi zenyewe hazionekani tena.

Nipo kwenye nyumba ya mama till now na miaka ndio inayoyoma sana coz am over 30 saa ingine uwa naona ata aibu kutembea barabarani. Pamoja na hayo sina ata mtoto ila to be honest I wish even to have a single child, girls today are really tough to handle and I can't afford them, nimebaki njia panda sijui nilisoma ya nini ningejua maisha yangewa magumu hivi ningempa mtu mimba kipindi nipo chuo coz kuna fursa nilikuwa nazipuuzia.

Naombeni ushauri wenu wakuu labda utanisaidia na kunipa mwanga maana maisha yamekuwa magumu sana.
 
Pole sana mkuu!
Wasichana wako kibao! Labda unachagua sana! Najua watu waliooa na wanaishi na wake zao vizuri tu kwa dili hizohizo za kuungaunga.
Ukifanikiwa kupata tenda nyingine anzisha kabiashara ata cha kuuza karanga. Itakulipa ata kama ni kodogokidogo.
 
Pole sana. Ila kwa ushauri wangu usijaribu kutafuta mtoto au mke wakati maisha yako mwenyewe yanashindikana kuyaendesha. Kama ulikulia kijijini au umewahi shika jembe, jaribu kilimo cha bustani. Kinalipa
Nimeshangaa bado mambo hayajakaa sawa lakini anataka majukumu makubwa zaidi..

Au ndio tuseme bibi yupo tayari kumlelea mjukuu wake?
 
No wife, no kids, no job and still live in my mother place.
Wakuu nimemaliza chuo four years previously baada ya kusoma sana kwa shida kutokana na kutokuwa na wa kunilipia ada. Toka nimalize mpaka leo sijapata kazi zaidi ya kufanya kazi ngumu kama porter mlima Kilimanjaro na wakati mwingine nikawa napata za kufunga hema mbuga za wanyama ama kufua nguo za wageni, lakini toka raisi aanze kubana na kazi zenyewe hazionekani tena. Nipo kwenye nyumba ya mama till now na miaka ndio inayoyoma sana coz am over 30 saa ingine uwa naona ata aibu kutembea barabarani.
Pamoja na hayo sina ata mtoto ila to be honest I wish even to have a single child, girls today are really tough to handle and I can't afford them, nimebaki njia panda sijui nilisoma ya nini ningejua maisha yangewa magumu hivi ningempa mtu mimba kipindi nipo chuo coz kuna fursa nilikuwa nazipuuzia.
Naombeni ushauri wenu wakuu labda utanisaidia na kunipa mwanga maana maisha yamekuwa magumu sana
Pole, ndugu yangu. Yote uyasemayo ukimshirikisha Mungu hakuna linalomshinda.
Pia usitegemee hizo dill tu na wala usidharau kazi, hiyo unayoiona ni ndogo na si ya hadhi yako na ndio fursa iliyopo uishipo ifanye kwa matumaini huku ukimshirikisha Mungu kwa imani yako.
 
kubali jindi ulivyo jipe moyo hakika ipo siku utafanikiwa na siku zote hustle hard & pray long one day Mungu atakubariki tu
 
kaka waonekana unajitenga na jamii,,hata nafasi ya kukaa na watu kuongea tu yaweza kubadilisha muonekano wako wa kimaisha.Anza na kidogo ulichonacho,we anza na wazo linalokuja la kuinua uchumi. kadiri unavyojutia ndivyo unavyozidi kupoteza nafasi nyingi za kutoka. Anza kuishi kwa matumaini, kujitenga na kujifungia hakutabadilika kama hutaamua kuacha namna hiyo ya kuishi
 
Jikaze kiume bora uko na mama mjini na wasio na mama kabisa ? pia kaa na watu vizuri Brand your sefl
 
Pole sana mkuu!
Wasichana wako kibao! Labda unachagua sana! Najua watu waliooa na wanaishi na wake zao vizuri tu kwa dili hizohizo za kuungaunga.
Ukifanikiwa kupata tenda nyingine anzisha kabiashara ata cha kuuza karanga. Itakulipa ata kama ni kodogokidogo.
Thanks mkuu, unajua sio rahisi kuwa na mchumba ata hela huna ata akiwa na kazi ni pagumu pia anaweza kukukimbia, ofcoz nimeplan kama nikifanikiwa kupata kamtaji nianze ujasiriamali naona kama utanipaI mwanga zaidi
 
kaka waonekana unajitenga na jamii,,hata nafasi ya kukaa na watu kuongea tu yaweza kubadilisha muonekano wako wa kimaisha.Anza na kidogo ulichonacho,we anza na wazo linalokuja la kuinua uchumi. kadiri unavyojutia ndivyo unavyozidi kupoteza nafasi nyingi za kutoka. Anza kuishi kwa matumaini, kujitenga na kujifungia hakutabadilika kama hutaamua kuacha namna hiyo ya kuishi
Wala sijajitenga mkuu ila si mara nyingi najichanganya maana waweza mwambia mtu tatizo lako akawa anakucheka badala ya kukusaidia, nowadays binadamu wamepoteza utu
 
Back
Top Bottom