KP ni miongoni mwa wasanii wachache TZ wanaoumiza kichwa na kuangalia mambo katika upeo mkubwa...kunawakati huwa namlinganisha na Gado wa Nation la Kenya
Mkuu kiukweli Gado ni mkubwa kumzidi Kipanya kiumri,lakini katika suala la katuni Gado hajafikia hata nusu ya uwezo wa Kipanya.Huyu jamaa ni noma kwa kiswahili cha mtaani.