kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
naomba kuuliza,zamani nilikua naenda hadi bao sita ndani ya masaa manne lakini toka juzi nikifanya mapenzi naishia bao mbili,jana moja na tena nakua nimechoka sana.naoommbeni ushauri wenu tatizo ni nini hasa na tiba yake ni ipi.asanteni