mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
tafuta mpenzi....................huh
Kwani Bebii, hili tatizo unalo wewe au mwingine? Kama ni wewe binafsi niambie niku-PM tiba yakenini tiba ya hili tatizo jamani
Pole sana dear. Ila hayo ni mawazo yako tu...subiri umpate ndo utajua unazo au huna! All the best.
<br /><b>sifeel kama hivyo vitu vinaexist katika mwili wangu</b>
njia mbadala ndo zipi? maana siangalii picha za ngono kabisa wala sina mpenzi ila sina nguvu kabisa
njia mbadala zipi we mkimbizwa mbio?tatizo hili ni kubwa sana kwa wanawake siku hizi.
Sababutiba
- kuanza ngono mapema i.e miaka tisa
- kuangalia mikanda ya ngono
- kupiga chabo wazazi
- kuwa na mpenzi mmoja unayempenda ki ukweli (usipende kwa sababu ya pesa)
- acha kuangalia picha za ngono
- tumia njia mbadala