Asante kwa maelezo,nilimaanisha Homoni za kike hasa kwa mwenye umri wa kuanzia miaka 40.hormone zip hasa? Kuna homon nyingi kama progestrn hormon e.t.c ie kuna zinazohusiana na ukuaj wa maziwa, mwil kwa ujumla na mara nying lishe duni ndo husababisha so kula balanced diet, though kuna nyingne zinakua zipo tu, kama ndogo ndogo 2, au mwanamke bt homon za kiume zinazid anakua anasaut nzito kama men vile.