chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Aslam aleykum ma dokta wote wa humu ndani!
naomben ushauri wenu mke wangu amepata tatizo mwili hauna nguvu na anakuwa mchovu sana kapimwa na imeonekana damu imepungua ipo ml 8. Nn kinasababisha damu kupungua? Hosp. Gani naweza kupata matibabu ya kujua chanzo? Nn afanye damu iongezeke kwa haraka?
ahsanten wana JF nategemea msaada toka kwenu
naomben ushauri wenu mke wangu amepata tatizo mwili hauna nguvu na anakuwa mchovu sana kapimwa na imeonekana damu imepungua ipo ml 8. Nn kinasababisha damu kupungua? Hosp. Gani naweza kupata matibabu ya kujua chanzo? Nn afanye damu iongezeke kwa haraka?
ahsanten wana JF nategemea msaada toka kwenu