Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Christopher Kassanga Tumbo was arrested in Kenya in 1963 for opposing the East African Federation proposal. He was returned to Tanganyika and held in detention for four years.

Kuhusu Joseph Kasella Bantu ninachokumbuka mimi ni kuwa alikuwa anampinga Nyerere na aliwekwa ndani kwa kuamrisha mapigano ya watu kuibiana ng'ombe kule Nzega. Bahati mbaya taarifa zake hazijaandikwa, lakini hili nalikumbuka.


Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa hapendi sana kubishiwa kitu. Alikuwa anawaadabisha wale waliompinga kwa kutumia sheria ile ile ya Preventative Detention Act waliyokuwa wanatumia wakoloni. Pamoja na mabaya yake yote Nyerere hakumuua yeyote wala kumuacha mtu aozee detention na wala hakuwa na lukuki ya watu walioswekwa detention.
Umekosea kuhusu Kassanga Tumbo. Aliwekwa kizuizini 1966 baada ya kurudi kutoka Uingereza alikokuwa balozi wetu na kuyaambia magazeti kuwa amepewa hela na Uingereza kupindua serikali ya Nyerere. He was a fool as far as I can see.
 
Inashangaza sana Nyerere huyo huyo ndiye Rais pekee wa Tanzania aliyetoa hukumu ya kunyongwa kwa mtu mmoja tu Mwamwindi wa Iringa alimuua Kileluu aliyekuwa mkuu wa mkoa huo na akawaacha kwa mamia bila kuwanyonga japo walihukumiwa kunyongwa na Mahakama.

Nyerere alitoa hukumu za kunyongwa watu wawili. Osman wa Songea kwa kumuua mke wake kwenye milima ya Lukumburu na kusukuma gari lilokuwa na maiti genegeni ili ionekana ilikuwa ni ajali. Ilikuwa miaka ya 60. Mwamwindi alimwua Dr. Kleruu nadhani December 1970.
 
Nyerere alitoa hukumu za kunyongwa watu wawili. Osman wa Songea kwa kumuua mke wake kwenye milima ya Lukumburu na kusukuma gari lilokuwa na maiti genegeni ili ionekana ilikuwa ni ajali. Ilikuwa miaka ya 60. Mwamwindi alimwua Dr. Kleruu nadhani December 1970.
Wala Nyerere hakutoa hukumu. Alitia sahihi kama Rais wa NCHI ili watu hawa wanyongwe. Hili ni hitaji la kisheria ambalo hata hivo alilikwepa na kuliepuka kwa watu wengi tu. Kuna watu humu wanasutwa na dhamira zao kwa uongo wanaouandika juu ya Mwalimu. Wasubiri baadhi yetu tutoweke hapa duniani.
 
Mkuu Jasusi, sijui kama umeligundua kuwa hawa wapenzi na watetezi wa CCM ya sasa ndio wenye chuki kubwa na Mwalimu Nyerere wakati hicho chama wakiteteacho yeye ndio mwanzilishi wake.
Ila ukiangalia kwa darubini kali, CCM hii ya Kikwete sio ile ya Nyerere ila inatumia usajili wa CCM ya Nyerere ambayo ilishakufa pamoja na mwanzilishi wake......

kwani yeye alikuwa Mungu hadi unamkingia kifua? mbona hata kauwa watu wengi tu? na kwa taarifa yako, kiuhalisia CCM haikuanzishwa na yeye ila alikuwa mmoja wapo wa wengi waliofanya uanzilishi huo.

Kinachonishangaza ni kazi mnayoipata kumhusisha Kikwete na upuuzi wa Nyerere baba yenu.
 
kwani yeye alikuwa mungu hadi unamkingia kifua? mbona hata kauwa watu wengi tu? na kwa taarifa yako, kiuhalisia ccm haikuanzishwa na yeye ila alikuwa mmoja wapo wa wengi waliofanya uwazilishi huo.
Kinachonishangaza ni kazi mnayoipata kumhusisha kikwete na upuuzi wa nyerere baba yenu....
Duuh!, na wewe pia ni Great Thinker!
 
Kama hali yenyewe ilikuwa ndiyo hiyo ilikuwaje Nyerere akamrudisha Kassim Hanga Zanzibar?

Aaah, unataka kujua kwa nini Kassim Hanga alirudishwa Zanzibar? Na Ritz kakusifia kuwa hilo swali zuri. Ni kweli Kassim alisetiriwa mainland na Nyerere. Na kabla ya kumkabidhi kwa maafisa wa Karume, Nyerere alimwita Kassim mpumbavu.
Kassim, akiwa mainland, aliendelea kula njama na Kambona kumpindua Nyerere. Hawa wangefanikiwa Kassim angechukua uongozi Zanzibar wakati Kambona akichukua uongozi wa mainland. Hivi ingekuwa wewe, ungeendelea kumpa hifadhi mtu ambaye anafanya mipango ya kuhujumu utawala wako?
 
Umekosea kuhusu Kassanga Tumbo. Aliwekwa kizuizini 1966 baada ya kurudi kutoka Uingereza alikokuwa balozi wetu na kuyaambia magazeti kuwa amepewa hela na Uingereza kupindua serikali ya Nyerere. He was a fool as far as I can see.

Jasusi nimecheka sana...watu walimdharau Nyerere akiwa hai wakaishia kwenye kona. Sasa hivi wanamdharau amekufa wanafikiri watamuua tena mara ya pili. Wanalijenga jina lake maana kadri wanavyoshindwa kuonyesha wana uwezo kuliko yeye ndio jina lake linavyopaa juu juu.
 
Aaah, unataka kujua kwa nini Kassim Hanga alirudishwa Zanzibar? Na Ritz kakusifia kuwa hilo swali zuri. Ni kweli Kassim alisetiriwa mainland na Nyerere. Na kabla ya kumkabidhi kwa maafisa wa Karume, Nyerere alimwita Kassim mpumbavu.
Kassim, akiwa mainland, aliendelea kula njama na Kambona kumpindua Nyerere. Hawa wangefanikiwa Kassim angechukua uongozi Zanzibar wakati Kambona akichukua uongozi wa mainland. Hivi ingekuwa wewe, ungeendelea kumpa hifadhi mtu ambaye anafanya mipango ya kuhujumu utawala wako?

Mbona wao hawataki kuulizwa Ulimboka ilikuwaje kuwaje? Wanaona makosa ya Nyerere wanasahau wao wanafanya nini. Kuongoza nchi sio kazi ya lelemama. Tutaona wakishatoka wataacha story za aina gani.
 
sidhani kama nahitaji hata kuwa great "sinker" so long as naweza jua baya na jema
 
Jasusi nimecheka sana...watu walimdharau Nyerere akiwa hai wakaishia kwenye kona. Sasa hivi wanamdharau amekufa wanafikiri watamuua tena mara ya pili. Wanalijenga jina lake maana kadri wanavyoshindwa kuonyesha wana uwezo kuliko yeye ndio jina lake linavyopaa juu juu.
Ndahani,
Tena wakati huo nilikuwa sekondari. Nilisoma kwenye gazeti la Nationalist Kassanga akijisifia jinsi alivyopewa hela na Uingereza. Tukaulizana darasani itachukua muda gani kabla ya jamaa kuswekwa lupango. Yaani hapo hakukuwa na kesi kabisa, jamaa kishakiri makosa. The guy was a fool!
 
Umekosea kuhusu Kassanga Tumbo. Aliwekwa kizuizini 1966 baada ya kurudi kutoka Uingereza alikokuwa balozi wetu na kuyaambia magazeti kuwa amepewa hela na Uingereza kupindua serikali ya Nyerere. He was a fool as far as I can see.

Huyo hakuwa Chief Fundikira?
 
Mbona wao hawataki kuulizwa Ulimboka ilikuwaje kuwaje? Wanaona makosa ya Nyerere wanasahau wao wanafanya nini. Kuongoza nchi sio kazi ya lelemama. Tutaona wakishatoka wataacha story za aina gani.

kama uli angekuwa ametembea na mke wako ungempa adhabu gani inayomfaa... au hulioni hili. tafakari hadi mwisho wa upeo wako alafu ndo utoe hoja....
 
Kwa hiyo Joan Wicken aliyekuwa akilipwa na Waingereza ndiye aliyemshauri Nyerere miaka ya Sitini kuvunja mahusiano ya kibalozi na Uingereza kwa vile Uingereza ilikuwa inamsapoti Ian Smith wa Rhodesia (Zimbabwe)? Kweli tunapenda kutengeneza uongo kuwa ukweli.
Mkuu! tunazungumzia watu ambao wako tayari kuuwa raia zao ili kufikia malengo yao achalia mbali "kuvunja" mahusiano ya kibalozi.
Halafu na Nyerere naye kwa nini amkubali "personal assistant" ambaye ni mtumishi wa Serikali ambayo ni "hasimu" yake kama alivyokuwa akidai?...Nyerere was a controversial figure throughout most of his life, if not entirely!
jasusi said:
Kassim, akiwa mainland, aliendelea kula njama na Kambona kumpindua Nyerere. Hawa wangefanikiwa Kassim angechukua uongozi Zanzibar wakati Kambona akichukua uongozi wa mainland
Mkuu una ushahidi wowote? au na wewe umekuwa ni muhanga wa propaganda za Nyerere.
 
kama uli angekuwa ametembea na mke wako ungempa adhabu gani inayomfaa... au hulioni hili. tafakari hadi mwisho wa upeo wako alafu ndo utoe hoja....

Kumbe anakosea anastahili kupewa adhabu? Vipi mnamshangaa Nyerere? Halafu serikali tangu lini ina mke? Maana inaaminika Ulimboka hakutembea na mke wa mtu yeyote yule labda mke wa serikali kama yupo.
 
Ndahani,
Tena wakati huo nilikuwa sekondari. Nilisoma kwenye gazeti la Nationalist Kassanga akijisifia jinsi alivyopewa hela na Uingereza. Tukaulizana darasani itachukua muda gani kabla ya jamaa kuswekwa lupango. Yaani hapo hakukuwa na kesi kabisa, jamaa kishakiri makosa. The guy was a fool!
Halafu CK Tumbo amekuwepo hadi mfumo wa vyama vingi unaanza. Hawakuhangaika kumuuliza yaliyomsibu wakati ule. Kuiweka pamoja TANZANIA wakati ule wa Mwalimu haikuwa kazi ndogo kama wanavyoibomoa sasa.
 
Back
Top Bottom