Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Na hapo una maana gani?TaSAVAli Mkuu FDR jr
Nahisi ulilenga kumjibu Invisible; na sio Invincible. I am really invincible. No bulls#¤%&it!
Na hapo una maana gani?TaSAVAli Mkuu FDR jr
Nahisi ulilenga kumjibu Invisible; na sio Invincible. I am really invincible. No bulls#¤%&it!
Mkuu black and white IPP Media ni tatizo kwa maendeleo ya habari Tz, tunamlaumu sana Rostam why?? Ni pale tunapoona media zake zinapotosha umma, why not Mengi? Ni mungu huyu au?
Alichotaka ktk kipindi cha Mkapa na kukikosa sasa amekipata kwa JK, tunamuona yuko karibu naye sana ingawaje jamii haipendezwi na hali hiyo lakini maamuzi ya Rais na tunayaheshimu, mzee wake Msuya naye kasogezwa basi inatosha kwake ,ajenge nchi na siyo malumbano yaso na hoja.
Hofu yake nini kwa Mkapa ambaye sasa si Rais wa nchi au anataka nini toka kwa huyu mzee?
Mkuu,
Taifa lilianza kupoteza waandishi makini baada ya waandishi kutaka kutukuzwa na kupenda masiha ya juu kuliko kile wanchokipata.Waligundua kwamba wanaweza kuwa matajiri kwa kuwatumia wale wanowapamba kila siku na ndicho kianendelea mpaka leo.Leo sio ajabu mtu kumsifia Mbowe a Lowassa na kumponda Wangwe kwa kuwa anatofautiana na yule anayempenda.Tumeona hapa hapa JF kipindi cha kumsimamisha wangwe watu makini wanaondelea kumtukuza mtu na chama na walijitahidi sana kuspin mambo ya uongo kuhusu ndugu yaangu wa kemakorere(hili linaniuma sana)
Waandishi wamekuwa wakimsifia mtu tu kuliko kusifia yale anayoyafanya kw aumakini,Ukiangalia Gazeti moja la kila siku limekuwa likiandika Habari zinazohusu chama kimoja cha Upinzani na kuhakikisha kinampaamba mwenyekiti wake.Imesaidia kuwabomoa watu wachafu na hilo ni lengo mojawapo la uandishi.Mie sitaki kuamini kwamba hili lilianza 2004 na watu wa Mtandao bali limeanza pale tulipoacha kujali maslahi ya taifa
Hiyo imeendelee hata hapa Jamvini,kumukuwwapo watuambo wanaandika kwa sababu wanapenda flani awe hivyo alivyo na asiguswe,tumejawa na hisisa za wale walio wakubwa zetu.tumenyeyekea vyama vyetu kuliko Maslahi ya Taifa.
Mie naweza kusema upotoshaji wa habari ulianza pale tulipoanza kuwa mashabiki wa habari zisizo na msingi,tulipoaanza kuamini kwamba ukiandika jambo linalomhusu flani utaheshimika na kupata Pesa.Kuna kipindi hapa Mzee mwanakijiji aliwahi kuleta habari ya kaanzi kwamba Mhe. Ngeleja ana undugu wa kindoa na Mhe Lowassa kwa lengo ambalo sijui lilikuwa ni nini,ila tulimuelewesha kwa kumueleza ukweli.Mie nafikiri tuendele kurekebishana na kusaidiana pale tunapokosea au kukosea
Ila naamini hatujachelewa,sidhani kama kuwa Tajiri ni ufumbuzi wa kila kitu,sidhani kama kusifia chama na kumtetea mtu kwamba hakufeli shule naweza leta maana,Hata kama mtu amefukuzwa na mapanga tusimjadili na tumuache aje ajitetee Mwenyewe.Tumeacha vyama kumiliki Media na hili ndilo jambo ambalo linatupoza na kutufanya tuwe mhayawani
Tulishapotea njia muda mrefu,tumekubali kufungwa bao la kisigino,waliltumia udhaifu wetu kutumaliza,Jf sasa tupo kama hatupo na tunawategemea hao walete habari,tumeacha uchunguzi wa kina na tumeendekeza kuandamana sisi kwa sisis kwa maneno yasiyo na msingi,vita kati yetu ndiyo inachochoea haya yote ya upotoshaji wa habari
Kutoka Kasiri la MWANANCHI mpaka NEW RAI, tumepotoka au umepotoka?
.....ndiyohiyo