Mkuu inaonesha unataka kutuaminisha kuwa wanaotumia hiyo alama ni wauaji tena wanaoteketeza vitu angalia hapo kwenye RED na hayo tumeyashuhudia kule Misri,Tunisia na Libya waliokuwa wanatumia alama kama hiyo ya CDM tumeona walichokifanya na hadi leo hizo nchi hazina amani.Nakushauri unapoanzisha thread fanya uchaguzi wa maneno ili ionekane unapingana na jambo lililokukera vinginevyo hapo hujasema kitu.Leo ktk gazeti la Jambo Leo,ukurasa wa kwanza kuna kichwa cha habari kinachosema Chadema Inahusishwa na mashetani,na eti Dr.Slaa ana jini lake linalomsaidia mambo yake ya kisiasa,pia ktk dini hiyo kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Pope naye yumo. Mwandishi amekwenda mbali zaidi kwa kumuhusisha Marehemu Kanumba na hiyo dini ya mashetani.Katika kujenga hoja amewaonyesha viongozi mbalimbali wa Dunia kuwa ni waumini wa dini hyo ya kishetani..Nimesikitishwa na umbumbumbu wa mwandishi,ujengaji wake wa hoja na zaidi kuwadhalilisha watu bila ushahidi wa kimantiki..msingi wa hoja yake kuwa Chadema na Dr.SLAA ni wafuasi wa shetani ni aina ya salamu ya vidole viwili inayotmiwa na Chadema,kuwa ni salamu ya kishetani na hivo Chadema ni ya mashetani na Dr.Slaa ana jini linalomlinda.. Kwa kweli huu ni upotoshaji mkubwa,haupaswi kuachwa,kulivamia pia kanisa kwa kumuhusisha kiongoz wao ni upotoshaji,ni kuuambia umma kuwa wote walio chini ya kiongozi huyo (Pope) nao ni waabudu sanamu!huu ni uzushi,uzandiki na ukomo wa uelewa wa mambo ya kidunia. MY TAKE:...Alama ya "V" inayotumiwa na Chadema haina uhusiano na mashetani..miaka mingi iliyopita,Jemedari wa vita toka Urumi(Roma) Julius Caiser aliwavamia maadui zake na kuwapga kwa kusafil umbali mrefu,alipofika ktk himaya ya adui aliua na kuteketeza kila kilicho cha adui..kufikisha ujumbe kwa walio Rome na Senator J.Caiser alisema "Veni,Vidi,Vici" = "I came,I saw,I conquered".. Hii ndo ikawa alama ya ushindi,na J.Caiser alipopita mbele za watu alikunja vidole kwa alama ya V kama tafsiri ya ushindi,na askari wote waliopgana ktk vita hvyo waliwekewa alama ya "V" tatu ktk mabega yao kama alama ya ushujaa,na t oka hapo V ikawa alama ya cheo ktk jeshi...kumbe alama ya V kwa Chadema si ushetani,haina mahusiano na mashetani...ni alama ya "Victory"...mashabiki wa mpira hutmia,wachezaji na hata makocha wao(japo wengine hufikili kuwa wanamanisha watashnda goli mbili).,si Chadema peke yao!JAMBO LEO Lisigeuke kuwa udaku,lisidhalilishe dini na viongozi wa watu,wajiheshimu!Wasitumike..kuna mbinu nyingi za kuibana Chadema lakn si kwa mtindo huo!kweli Chadema imewabana na bado kidogo mtaachia...NAWASILISHA
Wewe Judi ndio pengine usiyeelewa mbele au nyuma ni wapi hivyo hata matumizi yake huyaelewi. Kwako pengine kote ni sawa.pengine kweli maana iki chama ata akieleweki nyuma wapi mbele wapi..
Mjahidina Juma Pinto ndiye mmiliki na mhariri mkuu wa gazeti la Jambo Leo. Hainishangazi mtu huyu kuruhusu habari hiyo make huwa ni nazi wa chama cha magamba na mdini sana. Huyu bwana alikuwa uingereza kipindi lakini alivyotimliwa uk yeye anajua siri. Hata hivyo alipata kupewa tenda kubwa sana ya kuandaa matangazo ya ku-promote utalii kwa kuandaa mabango ambayo yalipaswa kuwekwa kwenye mabasi ya jijini London na vituo vya train lakini hakuna alichofanya matokeo yake akaweka matangazo ya kichovu kabisa tena ya kuhesabu akishirikiana na rafiki yake Abuu. Pia wakapewa hela nyingi tu na Malinzi huyu mkiti wa BMT sasa kuanzisha gazeti ambalo nalo lingewahabarisha watanzania na kutangaza utalii nalo akashiriki kuchakachua. Bila shaka ndiko alikopatia mtaji wa kuja kuanzisha gazeti na rafiki yake mchovu juma mabilikila.
TATIZO ni kwamba umesoma mwenyewe na kuchambua mwenyewe na kila mmoja anatakiwa ku-comment ulichoandika wewe!
Mkuu inaonesha unataka kutuaminisha kuwa wanaotumia hiyo alama ni wauaji tena wanaoteketeza vitu angalia hapo kwenye RED na hayo tumeyashuhudia kule Misri,Tunisia na Libya waliokuwa wanatumia alama kama hiyo ya CDM tumeona walichokifanya na hadi leo hizo nchi hazina amani.Nakushauri unapoanzisha thread fanya uchaguzi wa maneno ili ionekane unapingana na jambo lililokukera vinginevyo hapo hujasema kitu.
Gazeti kama hili linatakiwa kufunguliwa KESI YA UCHOCHEZI. Kilichoandikwa na mwandishi kanjanja wa Gazeti hili ni UCHOCHEZI WA WAZI KWA KUWATUKANA VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI TANZANIA NA DUNIANI AKIWEMO KIONGOZI WAKE MKUU PAPA. Mwandishi huyu anaonekana ni kihiyo na anatumiwa tu na CCM kuandika uongo na ujinga kujaribu kuwaghilibu Watanzania wamchukie Dr. Slaa,Kanisa Katoliki na hatimaye CHADEMA. Hivi nani hajui salamu ya CHADEMA YA KUNYOSHA VIDOLE VIWILI NI ALAMA YA USHINDI YAANI 'V'-VICTORY??Ushetani hapa unatoka wapi??????
Kwa heshima na taadhima NAOMBA VIONGOZI WA CHADEMA WAKISHIRIKIANA NA UONGOZI WA KANISA KATOLIKI TANZANIA PAMOJA NA FAMILIA YA MAREHEMU STEVE KANUMBA WAFUNGUE KESI MAHAKAMANI YA UZALILISHAJI NA UCHOCHEZI.
Kweli CCM inaelekea mwisho. Haya ni maneno ya MFA MAJI. Juzi kule Arumeru tulisikia DR.SLAA AKITUKANWA NA STEVEN WASSIRA ATI ALIIBA HELA YA MICHANGO YA MWALIKO WA PAPA KUJA TANZANIA NDO MAANA AKAFUKUZWA UPADRE. Ni maneno yaleyale toka kwa wana-CCM waliochoka na kufulia katika uwanja wa Siasa.Wanajaribu kutumia vijigazeti uchwara kuwapotosha Watanzania!
Chonde chonde Viongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania hebu msikubali KUTUKANWA NA KUDHALILISHWA KWA DINI YENU KITWA NI YA MASHETANI. Huu ni uongo ambao unaweza kuchochea hasira za WAUMINI WA DHEHEBU HILO NA KUPELEKEA MACHAFUKO HAPA NCHINI. Msikubali,chukueni hatua za maksudi kukomesha ushenzi huu.
mbona mnampaisha sana huyo shetani? kama nyie mianadamu mungejua mna nguvu nyingi kuliko huyo shetani msingemfagilia GO TO HELL JAMBO LEOpengine kweli maana iki chama ata akieleweki nyuma wapi mbele wapi..
Aliyewakaribisha Freemason Tanzania ni Benjamin Mkapa.
Kikwete na Sheikh Yahya, Kapuya, Membe, Mengi, Magufuli, Mkono, Mwale, Lowassa ni baadhi tu ya mamembers wa Freemason.
Wana Lodge yao maeneo ya Ngaramtoni panaitwa Masonic Lodge.
CHADEMA inawanyima usingizi magamba wamebaki wanahaha tu.
Wao wana fedha za Freemason
Sisi tuna Mungu tusiogope tutashinda!
MCT- Media Council of Tanzania wako wapi katika hili?
Nini msimamo wao? Kwanini wanaachia watu washenzi wanaandika ushenzi kwenye magazeti kutukana watu,vyama na dini zao????Je,wanataka Tanzania iwake moto kama Rwanda ile miaka ya 1994? Hivi MCT hamjui kuwa WACHOCHEZI WAKUBWA WA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA ILIKUWA NI VYOMBO VYA HABARI(REDIO NA MAGAZETI)???
MCT tunataka mtoe tamko. Vinginevyo mjiuzulu.
pengine kweli maana iki chama ata akieleweki nyuma wapi mbele wapi..
RostamNani mmiliki wa gazeti hili?
Tatizo in uandisshi iliojaa majungu na hauna research ni story za kijiweni any way jambo leo ni sister ya jambo london mmiliki Juma Pinto Education Zero so there you are do not expect anything of value from this lotLeo ktk gazeti la Jambo Leo,ukurasa wa kwanza kuna kichwa cha habari kinachosema Chadema Inahusishwa na mashetani,na eti Dr.Slaa ana jini lake linalomsaidia mambo yake ya kisiasa,pia ktk dini hiyo kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Pope naye yumo. Mwandishi amekwenda mbali zaidi kwa kumuhusisha Marehemu Kanumba na hiyo dini ya mashetani.Katika kujenga hoja amewaonyesha viongozi mbalimbali wa Dunia kuwa ni waumini wa dini hyo ya kishetani..Nimesikitishwa na umbumbumbu wa mwandishi,ujengaji wake wa hoja na zaidi kuwadhalilisha watu bila ushahidi wa kimantiki..msingi wa hoja yake kuwa Chadema na Dr.SLAA ni wafuasi wa shetani ni aina ya salamu ya vidole viwili inayotmiwa na Chadema,kuwa ni salamu ya kishetani na hivo Chadema ni ya mashetani na Dr.Slaa ana jini linalomlinda.. Kwa kweli huu ni upotoshaji mkubwa,haupaswi kuachwa,kulivamia pia kanisa kwa kumuhusisha kiongoz wao ni upotoshaji,ni kuuambia umma kuwa wote walio chini ya kiongozi huyo (Pope) nao ni waabudu sanamu!huu ni uzushi,uzandiki na ukomo wa uelewa wa mambo ya kidunia. MY TAKE:...Alama ya "V" inayotumiwa na Chadema haina uhusiano na mashetani..miaka mingi iliyopita,Jemedari wa vita toka Urumi(Roma) Julius Caiser aliwavamia maadui zake na kuwapga kwa kusafil umbali mrefu,alipofika ktk himaya ya adui aliua na kuteketeza kila kilicho cha adui..kufikisha ujumbe kwa walio Rome na Senator J.Caiser alisema "Veni,Vidi,Vici" = "I came,I saw,I conquered".. Hii ndo ikawa alama ya ushindi,na J.Caiser alipopita mbele za watu alikunja vidole kwa alama ya V kama tafsiri ya ushindi,na askari wote waliopgana ktk vita hvyo waliwekewa alama ya "V" tatu ktk mabega yao kama alama ya ushujaa,na t oka hapo V ikawa alama ya cheo ktk jeshi...kumbe alama ya V kwa Chadema si ushetani,haina mahusiano na mashetani...ni alama ya "Victory"...mashabiki wa mpira hutmia,wachezaji na hata makocha wao(japo wengine hufikili kuwa wanamanisha watashnda goli mbili).,si Chadema peke yao!JAMBO LEO Lisigeuke kuwa udaku,lisidhalilishe dini na viongozi wa watu,wajiheshimu!Wasitumike..kuna mbinu nyingi za kuibana Chadema lakn si kwa mtindo huo!kweli Chadema imewabana na bado kidogo mtaachia...NAWASILISHA
hana uelewa na alichokiandika.
Waacheni wa-enjoy ustaarabu wa Wakatoliki na wakristu kwa ujumla. Kuna dini moja hapa Tanzania ambayo ingekuwa ndiyo gazeti limeiandika kuwa wanaabudu mashetani, na kuwa kiongozi wao nae anaabudu mashetani, then hayo maandamano ya Ijumaa kwenda kuchoma ofisi za hilo gazeti Kova asingetahimili. But kwetu wakatoliki, wakisema hivyo tunacheka, na kuwaombea siku moja waende shule waelimike na wastaarabike...