Uporoto na klorokwin..........

nimewaona central muda si mrefu,sijui kunani,ngoja nicheck na Husn maana naye nimemwona akiwa na barua ya serikali za mitaa kwa ajili ya dhamana.
Ps: nasikia it is something to do na wizi wa kuku!
 
uporoto01 na klorokwin wameadimika. hadi mimi kesi za jf zinanilemea sasa. Mia
 
Half crazy naye amepotea kweli siku hizi. Naye namtakia R.I.P popote alipo.
 
nimewaona central muda si mrefu,sijui kunani,ngoja nicheck na Husn maana naye nimemwona akiwa na barua ya serikali za mitaa kwa ajili ya dhamana.
Ps: nasikia it is something to do na wizi wa kuku!

babu weeeee! Unitue, usinikondeshe.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom