Uporoto amewini

Mkuu kumbushia zile

Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli, Iwafae masihani

Baada ya hapo mambo yatafloo!

Akatamka mgonjwa, ninaumwa kweli kweli,
Hata kama ni kuchanjwa, haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa, (Baada ya hapo nilitoroka class)
 
kweli kajaiba ulipenda,cheusi mangala akakutenda
wahenga walishanena,lakini wewe hukupendwa
mpende akupendae ,hasokupenda achana nae
na usipoangalia tena utatendwa na zaidi ya kutendwa.


Uporoto si umwache,cheusi mangala ampakate?
mbona wewe ulikuwa wake na tena ukampa mate?
sasa kwanini umfate fate,na kshikshi zimpate?
yeye kesha sema anawake,tabu ya nini upate?

si kila ufatapo nyuki utapata utamu
wengine hupata manundu ,huku wakivuja damu.
sasa wewe wataka makuu na si tena utamu
ntamwambia uporoto aje akupe hatam.

si kama nakucheka kwa yalokufika
lakini napenda kukueleza,na upende kusikika,
watu wakishapendana ni ngumu kuachanika
waombee maisha mema ,huko walikofika.
 
Nitawaletea translation ya kiingereza ya haya mashairi for future use nyie naomba muendelee
 
Birungi karibu kwangu, ulinzi ni yangu fani,
Amenijalia Mungu, Hebu toka mashakani,
Utakula na wanangu, ukiingia kambini,
Ombi lako mesikia, Birungi jukuu wangu.

Thenksi nimekugongea, ili upate amini,
Kuwa nimekupokea, hapa kwangu kibandani,
Njoo upate tulia, kashaija sikuwini,
Ila usijisahau, babu akalala njaa.


asante babu yangu,kwa itikio ombi langu,
ipo shwari roho yangu,baada ya kupata mkungu,
tapalilia shamba langu,babu ule ndizi zangu
katu hutolala njaa,kukulinda itakua kazi yangu.

japo tupo wengiwengi,mi ntakua kiziwanda
afrodenzi ndo mpishi,mi kazi ya kuandaa
wiselady kucota maji,maty kuni kusenya
katu hutolala njaa,kukulinda itakua kazi yangu.
 
Kashaija ndugu yangu, nakugea zangu pole,
Ulienda wanguwangu, ukajikwaa kidole,
Alichokipanga Mungu, kiwezi kuwa kipele,
Jaribu tena kwingine, Cheusi kwako haramu.

Ila onyo nakugea, Siguse jukuu wangu,
Usije tena kulia, Nikiwarudisha kwangu,
Wajukuu nimelea, wanitunze peke yangu,
Jaribu tena kwingine, Cheusi kwako haramu.

Afrodenzi angalia, simuweke mawindoni,
Maty wala Roselia, na mwanajamiiwani,
Waisiledi achia, na wengineo sebuleni,
Jaribu tena kwingine, Cheusi haramu kwako.

Dada zangu nakwachia, ukiwaweza chukua.
Preta nakuzawadia, Nyamayao naye pia,
LD kiwezea, Lili Flawa Fukuzia,
Mahari ulete kwanza, Babu ninazipokea
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Kimey (Today)​
 
]Lipi lako nichukue[/B], na lipi niliamini?,
Uporoto uko nae, wamtaja hadharani,
Ili mie nirudie, ibadilishe saini, (chukua vyote NIACHIE Uporoto01.:angel:)
Umtusi umatini, ndipo nikurudie.[/QUOTE]

chukua vyote uporoto usiguse.
saini naweza kuibadilisha kukuonyesha jinsi ninavyokujali kama unavyonijali lkn kumtusi Uporoto01 hata nikilogwa sitaweza
 
kweli kajaiba ulipenda,cheusi mangala akakutenda
wahenga walishanena,lakini wewe hukupendwa
mpende akupendae ,hasokupenda achana nae
na usipoangalia tena utatendwa na zaidi ya kutendwa.


Uporoto si umwache,cheusi mangala ampakate?
mbona wewe ulikuwa wake na tena ukampa mate?
sasa kwanini umfate fate,na kshikshi zimpate?
yeye kesha sema anawake,tabu ya nini upate?

si kila ufatapo nyuki utapata utamu
wengine hupata manundu ,huku wakivuja damu.
sasa wewe wataka makuu na si tena utamu
ntamwambia uporoto aje akupe hatam.

si kama nakucheka kwa yalokufika
lakini napenda kukueleza,na upende kusikika,
watu wakishapendana ni ngumu kuachanika
waombee maisha mema ,huko walikofika.

hodi hodi uwanjani,
shosti pearl nakusalimu kisha naomba kuteta nawe,
hapo penye blue,penzi langu na Uporoto panalihatarisha,
Uporoto alinikuta 'sijui lolote' akanifundisha kila kitu,
leo hii ukisema Kaishaijabutege alinipa mate si Uporoto atadhani nilikua nilimdanganyanilipomwambia kuwa sijui hata mate yanaliwaje?
be carefuly shosti,nikiharibu penzi langu na Uporoto sijui kama nitapata jengine kama hili ktk dunia hii.
 
hodi hodi uwanjani,
shosti pearl nakusalimu kisha naomba kuteta nawe,
hapo penye blue,penzi langu na Uporoto panalihatarisha,
Uporoto alinikuta 'sijui lolote' akanifundisha kila kitu,
leo hii ukisema Kaishaijabutege alinipa mate si Uporoto atadhani nilikua nilimdanganyanilipomwambia kuwa sijui hata mate yanaliwaje?
be carefuly shosti,nikiharibu penzi langu na Uporoto sijui kama nitapata jengine kama hili ktk dunia hii.

Cheusie nakushauri urudi darasani kujifunza ushairi:A S kiss:
 
hili foramu jamani halikosi vimbwanga,
kila nikizama ndani nabaki nazimiaga
utasikia fumanizi na kule mtu katengwa
kashaija we jasiri kumwaga mwenzi hadharani.

ulipoanza mfukuzia hukumtungia shairi
mkala kwa kuibia sasa wasema umeghairi
uporoto kakuingilia au hauna umahiri
kashaija we jasiri kumwaga mwenzi hadharani,

aspirin babu nilinde nami niwe kijukuu,
utakula vilivyo na shibe kwani sina makuu
tena busara unipe niwaepuke fataki wakuu
kashaija we jasiri kumwaga mwenzi hadharani

Ushindwe na ulegee, uongo kunizushia,
Kwa tuo nielezee, wapi kaniingilia?
Birungi nipotezee, popobawa nakemea,
Birungi wewe Mhaya, Kiswahili kwako shida.
 
Kashaija ndugu yangu, nakugea zangu pole,
Ulienda wanguwangu, ukajikwaa kidole,
Alichokipanga Mungu, kiwezi kuwa kipele,
Jaribu tena kwingine, Cheusi kwako haramu.

Ila onyo nakugea, Siguse jukuu wangu,
Usije tena kulia, Nikiwarudisha kwangu,
Wajukuu nimelea, wanitunze peke yangu,
Jaribu tena kwingine, Cheusi kwako haramu.

Afrodenzi angalia, simuweke mawindoni,
Maty wala Roselia, na mwanajamiiwani,
Waisiledi achia, na wengineo sebuleni,
Jaribu tena kwingine, Cheusi haramu kwako.

Dada zangu nakwachia, ukiwaweza chukua.
Preta nakuzawadia, Nyamayao naye pia,
LD kiwezea, Lili Flawa Fukuzia,
Mahari ulete kwanza, Babu ninazipokea

Wewe ni dawa ya homa, utawaweza vimwana?,
Nakuonea huruma, ni kifupi chako kina,
Kijogoo nanguruma, dozi natoa pana,
Kijogoo nimenona, niachie kina mama.
 
ah ah ah lol
chesui nimekupata,uporoto kakamata
na hakika anakipata ,kile anachokitaka,
katu kasha mate hakupata,wala mda wa kukupakata
na kama mate angepata ,si asingekuacha?

kwa uporoto uliena,bila kujua la kutenda
nae kama mlengwa,alikuonyesha vya kutenda
nawe bila kalenda ukamuacha akatenda
na sasa kesha kupenda,huna budi kupendeka
hodi hodi uwanjani,
shosti pearl nakusalimu kisha naomba kuteta nawe,
hapo penye blue,penzi langu na Uporoto panalihatarisha,
Uporoto alinikuta 'sijui lolote' akanifundisha kila kitu,
leo hii ukisema Kaishaijabutege alinipa mate si Uporoto atadhani nilikua nilimdanganyanilipomwambia kuwa sijui hata mate yanaliwaje?
be carefuly shosti,nikiharibu penzi langu na Uporoto sijui kama nitapata jengine kama hili ktk dunia hii.
 
ah ah ah lol
chesui nimekupata,uporoto kakamata
na hakika anakipata ,kile anachokitaka,
katu kasha mate hakupata,wala mda wa kukupakata
na kama mate angepata ,si asingekuacha?

kwa uporoto uliena,bila kujua la kutenda
nae kama mlengwa,alikuonyesha vya kutenda
nawe bila kalenda ukamuacha akatenda
na sasa kesha kupenda,huna budi kupendeka

:A S kiss::A S kiss::A S kiss:
 
Back
Top Bottom