figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Nipo hapa maeneo ya bakule club najaribu kuwaza na kuwazua. nlikuja kula mdudu pande hizi lakini naona pamepoa sana. napenda kukaa sehemu yenye makelele na fujofujo. napendaa kukaa sehemu iliyo changamka. Wapi ulipo? pamechangamka/kumekucha? Ndulu kacheka kwa wafanyakazi serikalini, naamin wengi mumetoka. upo wapi? enjoy. mia