jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Jmushi,
Unajichanganya sana kwenye posts zako hadi inakuwa vigumu kukujibu. Kuwa na kitu kimoja specific unachotaka kujibiwa na utajibiwa (if any). Unajichanganya sana mkuu hadi inatisha.
Nataka majibu yote!
Nataka pia unionyeshe nilipojichanganya!
NANI ANAMCHANGANYA NANI NA SASA INAONEKANA KUWA NYIE MNAMPIGIA KIFUA KIKWETE NA ZITTO...SI NDIO WACHANGANYAJI NYIE?...AMA NDO MIMI MUULIZA MASWALI MCHANGANYIKO NINAEWACHANGANYA?
Nani mwenye kumchanganya nani?
Be specific Pls