chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 211
habarini wana jf,
nimesikitishwa sana na jinsi wapinzani au vyama vya upinzani ulivyo ihendo ishu ya dr ulimboka, i'm very sad,huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu zen hawa jamaa (wanaishia kutoa matamko tu) a they seriouz kweli,nilitarajia kuona watu tunaingia mabarabarani,zen waziri wa mambo ya ndani,IGP mwema na wengine (dhaifuz) wote wana achia ofisi zao (wajiuzulu au kufutwa kazi) haya tutaona mwisho wake.
au mnasemaje wakereketwa,km we dhaifu don't comment pls!!!
nimesikitishwa sana na jinsi wapinzani au vyama vya upinzani ulivyo ihendo ishu ya dr ulimboka, i'm very sad,huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu zen hawa jamaa (wanaishia kutoa matamko tu) a they seriouz kweli,nilitarajia kuona watu tunaingia mabarabarani,zen waziri wa mambo ya ndani,IGP mwema na wengine (dhaifuz) wote wana achia ofisi zao (wajiuzulu au kufutwa kazi) haya tutaona mwisho wake.
au mnasemaje wakereketwa,km we dhaifu don't comment pls!!!