Mtanga Tc
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 235
- 84
Waheshimiwa wa JF-matokeo ya kituo kidogo cha Sopa-Mwaswale,bariadi ya mashariki ni kama yafuatavyo:
Urais:Chadema=59 CCM= 7 APP =1
Ubunge:UDP = 46 CUF = 10 CCM =11
Udiwani:CHADEMA=54 CCM=8 UDP 5.
Kituo hiki hakikuwa na wakala toka chama chochote kile na muda punde tu ndio wahusika wamechukuwa kalabrasha kupeleka kituo maalumu jimboni.The whole experience in terms of system was a bit concern to poor me!
Hata hivyo nawapongeza wote ambao wameonelea vyema to give a chance to Maendeleo ya kweli kwa wote!!!!!!eep:
Urais:Chadema=59 CCM= 7 APP =1
Ubunge:UDP = 46 CUF = 10 CCM =11
Udiwani:CHADEMA=54 CCM=8 UDP 5.
Kituo hiki hakikuwa na wakala toka chama chochote kile na muda punde tu ndio wahusika wamechukuwa kalabrasha kupeleka kituo maalumu jimboni.The whole experience in terms of system was a bit concern to poor me!
Hata hivyo nawapongeza wote ambao wameonelea vyema to give a chance to Maendeleo ya kweli kwa wote!!!!!!eep: