Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Wanaume mbona tunawayumbisha sana wake zetu?
Wakikaa sebuleni kwa kulegea, tunawasihi wakae vizuri. Utasikia dume liking'aka "kaa vizuri wewe", tukiwa na maana wajibane.
Wakikaa kwa kujibana tukiwa nao chumbani, napo tunawasihi "wakae vizuri", yaani wajilegeze.
Kukaa vizuri kwa mwanamke ni kupi?
Wakikaa sebuleni kwa kulegea, tunawasihi wakae vizuri. Utasikia dume liking'aka "kaa vizuri wewe", tukiwa na maana wajibane.
Wakikaa kwa kujibana tukiwa nao chumbani, napo tunawasihi "wakae vizuri", yaani wajilegeze.
Kukaa vizuri kwa mwanamke ni kupi?