Upi ni ukaaji vizuri kwa mwanamke?

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Wanaume mbona tunawayumbisha sana wake zetu?

Wakikaa sebuleni kwa kulegea, tunawasihi wakae vizuri. Utasikia dume liking'aka "kaa vizuri wewe", tukiwa na maana wajibane.

Wakikaa kwa kujibana tukiwa nao chumbani, napo tunawasihi "wakae vizuri", yaani wajilegeze.

Kukaa vizuri kwa mwanamke ni kupi?
 
It is just adoptation of the environment and always it depends in which situation. Yaani kila mkao kwao unaheshima yake lkn inategemea na mazingira.
Mfn awapo kwenye majamboooooz yampasa akae aweke dishi vizuuuuri ili channel isomeke!!
 
Wanaume mbona tunawayumbisha sana wake zetu?

Wakikaa sebuleni kwa kulegea, tunawasihi wakae vizuri. Utasikia dume liking'aka "kaa vizuri wewe", tukiwa na maana wajibane.

Wakikaa kwa kujibana tukiwa nao chumbani, napo tunawasihi "wakae vizuri", yaani wajilegeze.

Kukaa vizuri kwa mwanamke ni kupi?

Ni wa kwako siyo wotee
 
Kukaa vizuri ninavyo fahamu ni kufunika/kuficha maeneo yake nyeti, hasa ya chini!
 
Wanaume mbona tunawayumbisha sana wake zetu?

Wakikaa sebuleni kwa kulegea, tunawasihi wakae vizuri. Utasikia dume liking'aka "kaa vizuri wewe", tukiwa na maana wajibane.

Wakikaa kwa kujibana tukiwa nao chumbani, napo tunawasihi "wakae vizuri", yaani wajilegeze.

Kukaa vizuri kwa mwanamke ni kupi?

sasa jombaa mbona jibu ni obvious!!mkao lazima uendane na tukio.
 
Back
Top Bottom