Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Eeeh Chaimaharage Samahani naomba kuuliza swali, ni kuhusu hio Avatar yako. mweeehAcha kuponda mawazo ya mwenzio, utumbo gani alioandika? yote aliyosema ni kweli! au hufuatilii matukio na taarifa mbali mbali? Kwani siku ana jitetea bungeni akitaja jina la Mungu hukumuona wala kumsikia? Aliye andika namsifu sababu ana kumbu kumbu nzuri. UTUMBO NI WEWE MNAO JAZA JF KWA MAWAZO MGANDO NA UWEZO FINYU WA KUFIKIRI KABLA HAMJA CHANGIA THREAD ZA WATU.
Last edited by a moderator: