Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
Nakumbuka wakati nipo shule ya msingi kuna msichana nilimpenda sana na yeye alijua ya kuwa ninampenda kutokana na jinsi nilivyokuwa namfanyia,sikuweza kuwa naye kwasababu ya kukosa uthubutu wa kumwambia yanayonisibu.Nilipofika sekondari kwakweli kuna msichana nilitokea kumpenda ile mbaya,naye vile vile tukawa naye karibu sana lakini sikumwambia kilichokuwa ndani ya moyo wangu.Baadaye huyu msichana akapata boyfriend kwakweli roho iliniuma sana lakini tuliendelea kuwa marafiki wa kawaida,baada ya kumaliza o level na mimi kuingia form 5 nilifanikiwa kuwa naye katika uhusiano,nilihisi moyo wangu kutulia na kuwa na furaha tele,kifupi huyu binti nilimpenda sana.
Bahati mbaya mapenzi yetu hayakudumu sana kwani alinimwaga kwa visingizio kibao,kwakeli sitaisahau siku ile maishani mwangu mpaka naingia kaburini,nakumbuka nilikaa wiki nzima kama nimechanganyikiwa hata kitabu hakipandi;baadae nilizoea na kuikubali hali hiyo.Sasa baada ya hapo upendo kwa wanawake uliisha kabisaaaa,nikipata mwanamke ujue ni wa siku moja au mbili umekwisha yaani tukisha kutna kimwaili mara moja tu ujue ndio mwisho wa mahusiaono,kweli mpaka sasa nimeshakuwa na wanawake kibao na wengine kweli huonyesha kunipenda kwa dhati lakini kwavile moyo wangu umeshakufa ganzi na hauna mapenzi ya kweli tena;muda mwingine huwanawaonea huruma sana wasichana hao lakini ndo hivyo,hisia za mapenzi kwa yule msichana hadi leo zinantesa kiukweli bado nampenda,i think she is the woman if my life though she dont want me anymore.wadau naomba ushauri wenu nifanyeje juu ya hili.ahsanteni.
Bahati mbaya mapenzi yetu hayakudumu sana kwani alinimwaga kwa visingizio kibao,kwakeli sitaisahau siku ile maishani mwangu mpaka naingia kaburini,nakumbuka nilikaa wiki nzima kama nimechanganyikiwa hata kitabu hakipandi;baadae nilizoea na kuikubali hali hiyo.Sasa baada ya hapo upendo kwa wanawake uliisha kabisaaaa,nikipata mwanamke ujue ni wa siku moja au mbili umekwisha yaani tukisha kutna kimwaili mara moja tu ujue ndio mwisho wa mahusiaono,kweli mpaka sasa nimeshakuwa na wanawake kibao na wengine kweli huonyesha kunipenda kwa dhati lakini kwavile moyo wangu umeshakufa ganzi na hauna mapenzi ya kweli tena;muda mwingine huwanawaonea huruma sana wasichana hao lakini ndo hivyo,hisia za mapenzi kwa yule msichana hadi leo zinantesa kiukweli bado nampenda,i think she is the woman if my life though she dont want me anymore.wadau naomba ushauri wenu nifanyeje juu ya hili.ahsanteni.