mijibwa koko haichelewi kubaka
sosolisoHa ha ha Mkuu.. Unakumbuka kipindi fulani Arusha mtoto aliliwa korodani zake na mbwa..? Ati kawaida yao ilikuwa mtoto akishajisaidia mbwa ndo anakuja kumlamba.. Siku hiyo mbwa akapitiliza na kutafuna korodani.. It's not good at all..