only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Jamaa mmoja alimpa mimba sekretari wake,na baada ya kufikiria sana hakatamani kumwambia mke wake na mazungumzo yalikuwa hivi;
Mume: Mke wangu leo nimepata tatizo kubwa ofisini.
Mke: Usiseme hivyo mume wangu, tatizo lako ni tatizo langu, usiseme umepata tatizo bebi sema tumepata tatizo kubwa ofisini.
Mume: Sawa mke wangu, ni hivi tumepata tatizo, tumezaa na sekretari wetu.
Mke:kilio na kuzimia.......
Mume: Mke wangu leo nimepata tatizo kubwa ofisini.
Mke: Usiseme hivyo mume wangu, tatizo lako ni tatizo langu, usiseme umepata tatizo bebi sema tumepata tatizo kubwa ofisini.
Mume: Sawa mke wangu, ni hivi tumepata tatizo, tumezaa na sekretari wetu.
Mke:kilio na kuzimia.......