King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
believe me you, siku hizi watu wanaishi kama wanyama! kuna wanandoa wanaishi hivi! kama mtu mkewe/mumewe anaweza kuwa safari na hawajuliani hali siku 5, na mtu yuko 100kms away! seuze baba na amwana? na ukiwakuta na majirani ama coaligues wanavyokenua meno,huwezi amini kaacha maiti ndani! nimekumbuka uzi wa pdiddy kuhusu wanandoa kusalimiana asubuhi. next tutashuhudia wanandoa, na ndoa zetu za kuuzia sura hizi! so sad! it cant be emphasised jamani, mimi without my very extended family,i am nothing! hata nipewe hela za jairo na change za gen shimbo, i will still feel a huge gap in my heart!