UPENDO... Hivi umepotea kiasi hiki????

believe me you, siku hizi watu wanaishi kama wanyama! kuna wanandoa wanaishi hivi! kama mtu mkewe/mumewe anaweza kuwa safari na hawajuliani hali siku 5, na mtu yuko 100kms away! seuze baba na amwana? na ukiwakuta na majirani ama coaligues wanavyokenua meno,huwezi amini kaacha maiti ndani! nimekumbuka uzi wa pdiddy kuhusu wanandoa kusalimiana asubuhi. next tutashuhudia wanandoa, na ndoa zetu za kuuzia sura hizi! so sad! it cant be emphasised jamani, mimi without my very extended family,i am nothing! hata nipewe hela za jairo na change za gen shimbo, i will still feel a huge gap in my heart!
 
Wakati mwingine ndio kuwa na baba ambae ni mzee kijana. Baba huyo hajali kama kijana wake amerudi ama amelala, matoke yake ndio hayo mzazi ana-assume kuwa kila kitu kiko ok. Lakini mzazi responsible anaekaa na mwanae ikipita 24 hrs bila kumwona basi lazima antenna zitasimama kichwani na ataanza kumwuulizia. huyu baba ni mzembe na anatakiwa na polisi awe the person of interest in this case.
Dunita siku hizi ni tafran tu


Nimependa hii analysis... kua kwa mzazi ambae yupo responsible ni lazima atajali amuone mwanae...
 
believe me you, siku hizi watu wanaishi kama wanyama! kuna wanandoa wanaishi hivi! kama mtu mkewe/mumewe anaweza kuwa safari na hawajuliani hali siku 5, na mtu yuko 100kms away! seuze baba na amwana? na ukiwakuta na majirani ama coaligues wanavyokenua meno,huwezi amini kaacha maiti ndani! nimekumbuka uzi wa pdiddy kuhusu wanandoa kusalimiana asubuhi. next tutashuhudia wanandoa, na ndoa zetu za kuuzia sura hizi! so sad! it cant be emphasised jamani, mimi without my very extended family,i am nothing! hata nipewe hela za jairo na change za gen shimbo, i will still feel a huge gap in my heart!

King.. that is what i mean... kua jamani siamini kua we are that busy kua mtu wa familia moja msionane... Mfano mzuri ni kua waweza kua na shughuli inakutoa ndani alfajiri saana wakati woote wamelala... But ni muhimu ukagonga milango na kuita walau usikie sauti na uage hata kama hamjaonana but sound inaonesha the person yupo good. Yaani nyumba moja nisionane na mtu the whole day?? hata kama nimerudi saa sita usiku lazima nimgongee nimsemeshe hata mlangoni walau kujua kua yupo ok... Tukiendekeza haya mambo ya kua busy... tutavunja morals kabisa... Mbaya saana.
 
kweli kabisa, yaani hata walau simu? ni ustaarabu kusalimia wa nyumbani kwako kabla ya kutoka. hata kama mtoto ni teja ama chizi, kumjali ni muhimu sana! na hata ikiwezekana mchana mwingi kujuliana hali nayo inapendeza! inasikitisha, eti tuko busy! to busy to enjoy what life has to offer!
King.. that is what i mean... kua jamani siamini kua we are that busy kua mtu wa familia moja msionane... Mfano mzuri ni kua waweza kua na shughuli inakutoa ndani alfajiri saana wakati woote wamelala... But ni muhimu ukagonga milango na kuita walau usikie sauti na uage hata kama hamjaonana but sound inaonesha the person yupo good. Yaani nyumba moja nisionane na mtu the whole day?? hata kama nimerudi saa sita usiku lazima nimgongee nimsemeshe hata mlangoni walau kujua kua yupo ok... Tukiendekeza haya mambo ya kua busy... tutavunja morals kabisa... Mbaya saana.
 
kweli kabisa, yaani hata walau simu? ni ustaarabu kusalimia wa nyumbani kwako kabla ya kutoka. hata kama mtoto ni teja ama chizi, kumjali ni muhimu sana! na hata ikiwezekana mchana mwingi kujuliana hali nayo inapendeza! inasikitisha, eti tuko busy! to busy to enjoy what life has to offer!


Mie naona ni taratibu ambazo familia inabidi kujiwekea... na hizi taratibu ni lazima ziangalie na zilenge kujenga upendo wa karibu kati ya members of the family and within the family.... Hivo ndo narudi pale pale kama ulivo uliza wee kua hata simu... ingawa genuinely speaking kama ni wakubwa simu kupigiana mchana mara nyingi sio saana... but tu ile umerudi, nini kinazuia kujuliana hali... yaani muishi kama wapangaji kweli?? Haipendezi.
 
Ulokole gani sasa alionao hata ashindwe kuangalia familia yake?
najua walokole wazee style zao ni jioni kuwakusanya wanaoishi nao
na kusali pamoja, yeye sijui vipi, nway huwez jua kwa undani
RIP marehemu
 
Kama mzazi si kipenzi cha familia yake na wala si mtu mwenye kupendwa katika familia yake, vipi anaweza kuwa mtu bora katika jamii inayo mzunguka, wakati hata familia ya watu wanne inamshinda kuiongoza?

Wengi hawajui kuwa Familia ni taasisi yenye mchango muhimu mno katika ujenzi wa jamii bora ya wanadamu. Taasisi hii ikishindwa kutimiza wajibu wake, jamii huwa jaa la maasi, kila mwenye uchafu wake huutupia humo... Huyo baba sidhani kama ni mtu wa dini kweli... na hata huo ushirikiano wake mzuri na watu ni wa kinafiki...! Kama ameshindwa kuchunga nyumba yake, vipi anaweza kuichunga jamii inayo mzunguka?
 
Kama mzazi si kipenzi cha familia yake na wala si mtu mwenye kupendwa katika familia yake, vipi anaweza kuwa mtu bora katika jamii inayo mzunguka, wakati hata familia ya watu wanne inamshinda kuiongoza?

Wengi hawajui kuwa Familia ni taasisi yenye mchango muhimu mno katika ujenzi wa jamii bora ya wanadamu. Taasisi hii ikishindwa kutimiza wajibu wake, jamii huwa jaa la maasi, kila mwenye uchafu wake huutupia humo... Huyo baba sidhani kama ni mtu wa dini kweli... na hata huo ushirikiano wake mzuri na watu ni wa kinafiki...! Kama ameshindwa kuchunga nyumba yake, vipi anaweza kuichunga jamii inayo mzunguka?



Hayo maneno umetoa... ni ya msingi saaana... na kwa kuongezea ni kua kuendeleza familia... it takes extra effort ili kuhakikisha all that is crucial kwa familia nzima iko provided plus UPENDO hapo hapo...
 
Hayo maneno umetoa... ni ya msingi saaana... na kwa kuongezea ni kua kuendeleza familia... it takes extra effort ili kuhakikisha all that is crucial kwa familia nzima iko provided plus UPENDO hapo hapo...
Unajuwa mzazi kadiri anavyotumia wakati wake kuwa pamoja na watoto wake, anakuwa na uwezo zaidi wa hisia ya kugundua kitu gani kinawakera na si kuziswaga hisia hizo chini ya ufungu (usiufiche ukweli). Kuongea kwa uwazi. Lakini si kwenye mikutano ya kifamilia au mbele ya wengine. Kufanya hivyo kutawafanya watoto na wazazi wao kuwa karibu sana.

Maana watoto wakishafika umri wa kujitegemea wanapaswa nao kuheshimiwa na kujadiliana nao kiutu uzima, japokuwa wazazi wengi hawataki kuwaona watoto wao kuwa wameshakuwa watu wazima na wenye fikra zao.
 
Unajuwa mzazi kadiri anavyotumia wakati wake kuwa pamoja na watoto wake, anakuwa na uwezo zaidi wa hisia ya kugundua kitu gani kinawakera na si kuziswaga hisia hizo chini ya ufungu (usiufiche ukweli). Kuongea kwa uwazi. Lakini si kwenye mikutano ya kifamilia au mbele ya wengine. Kufanya hivyo kutawafanya watoto na wazazi wao kuwa karibu sana.

Maana watoto wakishafika umri wa kujitegemea wanapaswa nao kuheshimiwa na kujadiliana nao kiutu uzima, japokuwa wazazi wengi hawataki kuwaona watoto wao kuwa wameshakuwa watu wazima na wenye fikra zao.

X-PASTER hapo kwenye red i beg to differ, kusema kweli ni raha iliyoje kumlea mwanao akafikia hatua ya kujitegemea,akaweza kupanga chumba chake,akaweza siku moja moja akawapa ka vocha wadogo zake,akatafuta siku baba/mama twende nikakuonyeshe kiwanja nilichonunua,ni jambo la fahari sana.na ndo maana wazazi tunahangaika kusomesha ili vijana wetu wafikie hatua ya kujitegemea sio ki uchumi tu lakini hata kimawazo,sio kila kitu 'ngoja nikamuulize baba' au 'ngoja nikamuulize mama'.
kuhusu uzi wa Asha,inasikitisha sana,mi nashauri tu mzazi kama una watoto jenga utamaduni wa kusalimiana nao kila asubuhi,bora msalimiane anayebaki nyumbani basi arudi kulala kama anataka.
 
Simply kuna watu hawaztahili kuwa wazazi......
Kuna watoto wengine wanakua 'wakorofi', na wazazi nao wanaamua kuzira....
 
Umenikumbusha story moja ambayo mimi, baba yangu mzazi na mdogo wangu t
ulitiwa ndani baada ya mimi kumuomba baba pesa ya kununua kiberiti na kumpatia
mdogo wangu akanunue kiberiti akapita njia ya mkato kupitia kwenye nyumba ya jirani
na kurudi mbio dada dada nyumbani kwa mzee (....) kuna nyuki wengi kwenye dirisha lake
kumbe alidhani ni nyuki lakini walikuwa inzi mimi nikatoka kwenda kuangalia na kurudi
kumwambia baba ambaye naye alitoka akasema hao si nyuki ni inzi na mbona kuna
harufu kali sana akaenda kwa balozi wa nyumba kumi kueleza wakaenda kituo cha polisi
kuripoti polisi kuja tukachukuliwa kwenda kutoa maelezo baada wakatafuta mafundi wa
kuvunja mlango kabla hata hawajavunja kushika mlango uko wazi kwenda ndani jamaa
kajifia siku tano ndani kumbe kauliwa na kijana wa kaka yake aliyekuwa anaishi nae akachukua
pesa yote ya kustaafu mzee na akakimbia. biashara ya kiberiti iliishia hapo hapo hata chai yenyewe hatukunywa tena dah...

Yaani hiki kisa cha huyu mzee kilinisikitisha sana maana laikuwa kastaafu kalipwa mafao sasa anasubiri kurudi kwao (...Mb....) familia yote imetangualia kijijini kabaki peke yake na huyo kijana mkubwa wa kaka yake na ndio alimtenda hivyo but alikamatwa na pesa yote mkononi.

Dunia kweli imekwisha upendo nakuunga mkono Ashadii
 
Kifo ni kifo.. mwili hauna thamani baada ya kifo..yaani vyovyote itavyokuwan ni sawa..uachwe baharini, uzikwe ardhini, uchomwe moto, utupwe angani.. Utahukumiwa kwa matendo yako na imani ndani ya roho yako na siyo maisha ya kinafiki kama ya huyo baba.. RIP Marehemu.

Kwenye post hii tunaona jinsi gani tulivyozungukwa na wanafiki, na mbaya zaidi huwezi jua ni nani mnafiki. Huyo baba asubiri hukumu yake kama siyo hapa duniani basi hata huko kwa mola.

Kuna uwezekano mkubwa huyo baba haishi na mke wake..kwani mama hawezi kukutupa hata umkosee vipi.. labda tu kama wewe utaamua kumtupa huyo Mama.

Scenario ya pili...Kama mama yupo hai basi kuna uwezekano mkubwa huyo baba ameshapiga chini huyo mama, na labda amekosana na mtoto kuhusu hilo..

All in all, Ni sad scene.. ushauri kwa sisi tuliobaki tuendelee kuwa na marafiki wengi ili angalau kati ya marafiki au ndugu 10 basi 8 wabaki kuwa wanafiki na wale 2 waliobaki wawe ni marafiki au ndugu wa kweli .. at the mininum kati ya hao wawili angalau mmoja awe mama, baba, mke au girl friend. Hivyo kama itatokea siku pumzi zangu zikikata basi kuna mmoja kati ya hao 2 atagundua hilo ndani ya siku mbili....
 
X-PASTER hapo kwenye red i beg to differ, kusema kweli ni raha iliyoje kumlea mwanao akafikia hatua ya kujitegemea,akaweza kupanga chumba chake,akaweza siku moja moja akawapa ka vocha wadogo zake,akatafuta siku baba/mama twende nikakuonyeshe kiwanja nilichonunua,ni jambo la fahari sana.na ndo maana wazazi tunahangaika kusomesha ili vijana wetu wafikie hatua ya kujitegemea sio ki uchumi tu lakini hata kimawazo,sio kila kitu 'ngoja nikamuulize baba' au 'ngoja nikamuulize mama'.
kuhusu uzi wa Asha,inasikitisha sana,mi nashauri tu mzazi kama una watoto jenga utamaduni wa kusalimiana nao kila asubuhi,bora msalimiane anayebaki nyumbani basi arudi kulala kama anataka.
Ni kweli huyasemayo, wazazi wengi upenda kuwaona watoto wao wakifanikiwa na wakiwa na maisha bora, lakini ni wazazi wangapi tumewaona au kushuhudia wakiwapinga watoto wao kuhusiana na wapenzi wao na kutaka kuoa wale wanao wataka wao...! Wakati mwingine kesi huwa kubwa mpaka kuto tembeleana!?

Anyway si wazazi wote wenye hizi tabia, ila hata sisi watoto yatupasa wakati wote kuwaheshimu wazazi wetu, na hata tukiona dalili za kuto elewana sisi ndio jukumu letu kwenda kuwataka radhi wazazi wetu na si wao watufuate, hata kama baba au mama kakukosea basi nenda kwake muombe wewe msamaha maana wazazi wengi hawataki au hawapendi kuonekana kuwa wamekosa.
 
AshaD

this story nimeisikia,

it has many faces, yawezekana kabisa kijana was not welcoming to his father kiasi cha baba kuwa mbali au kuogopa kuwa karibu
yawezekana - they were just living
yawezekana - hawapendani
yawezekana - kijana hakua na mazoea ya kurudi hivyo baba hakujua kama mwanae yupo au la
yawezekana mengi tu
yawezekana denial

all in all, its sad!!
 
Nashukuru kwa michango ya Members woote... Naomba tu mtanisamehe kua
nimeshindwa kabisa kujibu post by post for nilishiriki... na nashindwa la kusema...
Mambo mengine ni magumu... mno.. na naona bado iko vivid kwangu hivo sitakua rational...
Yale ninayo taka sema... naona hayatafaa for i think for once niko prejudged... na nobody
deserves that no matter mbaya kiasi gani... Asanteni....

Pamoja Saaana.
ADI.
 
Hii habari inasikitisha sana, lakini najiuliza, je mahusiano yao yalikuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom