magnificent
Senior Member
- Jun 25, 2011
- 110
- 16
hahahhhh, nimeipenda hiiiTBC1 stands for:
T=Tanzania
B= Bila
C= Chadema
1= 1nawezekana
hahahhhh, nimeipenda hiiiTBC1 stands for:
T=Tanzania
B= Bila
C= Chadema
1= 1nawezekana
<br>hahahhhh, nimeipenda hiiiTBC1 stands for:<br>
T=Tanzania<br>
B= Bila <br>
C= Chadema<br>
1= 1nawezekana
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari apa TBC ya 20hrs leo!
Walianza taarifa ya wabunge wa ccm waliopigwa bw Aeshi na mdada mmoja ivi.
Then ikafuata taarifa inayohusu CDM ya watu wake kuvamiwa hotelini
Hatimae ikaja taarifa ya hotuba ya Zito neno nililosikia akisema Tuko tayari kuwatete mara TV ikawa black ghafla then ikaendelea nkakosa flow ya speech ya Zito.
IVi mumelazimishwa kuonesha mambo ya chadema kama hamtaki mwache sio kukata kata news za cdm na za ccm zinaflow vyema as if walipa kodi wa nchi hii ni CCM peke yao
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari apa TBC ya 20hrs leo!
Walianza taarifa ya wabunge wa ccm waliopigwa bw Aeshi na mdada mmoja ivi.
Then ikafuata taarifa inayohusu CDM ya watu wake kuvamiwa hotelini
Hatimae ikaja taarifa ya hotuba ya Zito neno nililosikia akisema Tuko tayari kuwatete mara TV ikawa black ghafla then ikaendelea nkakosa flow ya speech ya Zito.
IVi mumelazimishwa kuonesha mambo ya chadema kama hamtaki mwache sio kukata kata news za cdm na za ccm zinaflow vyema as if walipa kodi wa nchi hii ni CCM peke yao
You have said the truthKimsingi Tz sasa hatuna kituo bora independent cha TV, wote wanawaya waya tu, sasa inapokuja kwa TBC inayoendeshwa kwa kodi za kila mmoja inatia hasira zaidi
Hata jana, TBC walitangaza habari za CCM, CUF Igunga, CDM hawakutangaza. TBC, Mshana acha ujinga huo.
Taarifa ya habari ya leo saa 2 usiku tbc wamenishangaza wameweza kurusha kwa muda mrefu habari za kampeni za chadema hasa wakimwonyesha kamanda mbowe akihutubia umati wa watu na muda mwingi mpiga picha akionyesha umati uliofurika na kumshangilia kamanda mbowe. Tofauti na ccm hakuonyesha umati bali walimuonyesha makamba akitia huruma. Je tbc wanasoma alama za nyakati.
Taarifa ya habari ya leo saa 2 usiku tbc wamenishangaza wameweza kurusha kwa muda mrefu habari za kampeni za chadema hasa wakimwonyesha kamanda mbowe akihutubia umati wa watu na muda mwingi mpiga picha akionyesha umati uliofurika na kumshangilia kamanda mbowe. Tofauti na ccm hakuonyesha umati bali walimuonyesha makamba akitia huruma. Je tbc wanasoma alama za nyakati.