Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Mkuu umenena vema kabisa hata mimi wamenikera,hata kipande cha Lisu kuzungumzia yaliotokea hawajaonyesha chote na maneno niliyoyasikia tu ni "ilikuwa usiku wa saa,,,,"wakakata wakaweka ya Zitto na hawakuipa hata muda wakaikata pia sasa sijui wamelazimishwa kuonyesha taarifa za Chadema!!!?.Siku Kikinuka kituo cha kwanza kukichoma moto kiungue chote ni TBC1 na ole wao
Hawa watu hawajifunzi, wind of change haiwezi kubadilishwa na uchakachuaji, tena kwa namna nyingine ndiyo kwaanza wanazidi kuwapandisha hasira wananchi na kuiongezea umaarufu.