Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari apa TBC ya 20hrs leo!
Walianza taarifa ya wabunge wa ccm waliopigwa bw Aeshi na mdada mmoja ivi.
Then ikafuata taarifa inayohusu CDM ya watu wake kuvamiwa hotelini
Hatimae ikaja taarifa ya hotuba ya Zito neno nililosikia akisema Tuko tayari kuwatete mara TV ikawa black ghafla then ikaendelea nkakosa flow ya speech ya Zito.
IVi mumelazimishwa kuonesha mambo ya chadema kama hamtaki mwache sio kukata kata news za cdm na za ccm zinaflow vyema as if walipa kodi wa nchi hii ni CCM peke yao
Mkuu umenena vema kabisa hata mimi wamenikera,hata kipande cha Lisu kuzungumzia yaliotokea hawajaonyesha chote na maneno niliyoyasikia tu ni "ilikuwa usiku wa saa,,,,"wakakata wakaweka ya Zitto na hawakuipa hata muda wakaikata pia sasa sijui wamelazimishwa kuonyesha taarifa za Chadema!!!?.Siku Kikinuka kituo cha kwanza kukichoma moto kiungue chote ni TBC1 na ole wao