Habar wakuu!
Nimekuwa nikifanya research yangu juu ya members wa hilii jukwaa na yafutayo ndio majibu ya research yangu.
Wengi ni vilazaful ambao ni wavivu wa kufikiri, walioshindwa shule na kama ni wanachuo wengi wao wamediscoo na wengi wana sup za kutosha huko vyuoni, wengi pia ni watoto yani below 18.
naotea huyu kama si kaka ritz1 ni comrade zomba
Ahsanten wakuu.
naotea huyu kama si kaka ritz1 ni comrade zomba