njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,512
Jamani mkutano haujaanza tu? au watu hawajaja huko? Kwiikwiii
hahaha sidhani hata kama 10 wamezidi maeneo wanayofanyia wamejaa wazanzibar ..
Jamani mkutano haujaanza tu? au watu hawajaja huko? Kwiikwiii
anasema sio dhambi kumtoa rais mwizi mahakamani ila ni dhambi kumwacha rais mwizi mahakamani
mkuu mpo wangapi hapo mkutanoni..? 7 hehehehe! weka picha basi tupate updates ...
Labda kijijini kwenu mkuuufaida tano za kufungua matawi ya chama nje ya nchi ni zipi mkuu wakati kuna vijiji kibao tanzania hawajui chadema ni kitu gani?
unamaana gani mkuu ?Uingereza imekuaribu mpaka lugha yako umeisahau.
uwe muwazi zaidi kusini wapi ? kama una maana ya kusini mwa Tanzania hapo wamekudanganya mno mkuu kama huamini nenda Songea kuna diwani wa CHADEMA si rahisi kuwa na diwani kama chama hakipomambo mengine kila kitu nl kuiga kwa ccm, ccm kwanza walieneza chama ndani kisha nje, sasa chadema chama kipo kaskazini kusini hakipo. huu ni ujinga.
Canning town wapi mkuu, Maplin road, Rogers road, Ruscoe road, Butchers road? Kote huko Watanzania wakuhesabu kuna wapemba tu.
andika Kiswahili utaeleweka tuIgnorant peoples party = Chadema
Hivi Watanzania ushamba utatuisha lini yaani mtu unakwenda kwenye kampuni za Tours, self drive unakodisha Vogue halafu unapiga nalo picha.
Kutokana na wahudhuriaji bwana, Lema ambaye alikaribishwa na ndugu Mushi kabla ya wazungumzaji wengine akina Ndosi, Chuwa, Manka na yule mjukuu wa mzee Mtei ilionekana si vibaya wakiongea kichaga kwa kuwa mkutano haukuwa tofauti sana vikao vyao vya kifamilia sebuleni kwao.
Na pia si wazanzibari...sasa sijui ni raia wa wapi wapendwa hawaHivi wapemba sio watanzania eeeh? Mi sikujua
Yessssss Ritz utaratibu wa kuchagua mayor unashirikisha wananchi wa eneo husika au ni nafasi za uteuzi ?Wekeni picha basi za vikao msisahau picha za Lema na Meya wa London.
Mbunge wa zamani wa Arusha Kamanda Godbless Lema Akihutubia Mkutano huo jana |
Baadhi washiriki wa mkutano huo |
Baadhi washiriki wa mkutano huo |