Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
UPDATES:
Hulu Ndio msikiti wanaosema umenunuliwa na wazanzibari na Ndio wanaotumia kipindi hiki. Hii ilikuwa pub Kama thatch house na ndipo uzinduzi wa tawi la CHADEMA Leo
Maandalizi ya Mkutano
TIyari Watu wameanza kuandika kutosha Marengo mbali mbali za ya London na shughuli yens ewe utaanza saa mbilinyi na unsigned ya Huku London ili WBA wale waisilamu wewe wameshafuturu na kujiunga na safari hii ya uko bozo .
TIyari Watu wameanza kuandika kutosha Marengo mbali mbali za ya London na shughuli yens ewe utaanza saa mbilinyi na unsigned ya Huku London ili WBA wale waisilamu wewe wameshafuturu na kujiunga na safari hii ya uko bozo .
Ueleweki andika kiswahili vizuri.
Mkuu we ndiye uliye narrate ile barua nini.Uingereza imekuaribu mpaka lugha yako umeisahau.
Hivi Watanzania ushamba utatuisha lini yaani mtu unakwenda kwenye kampuni za Tours, self drive unakodisha Vogue halafu unapiga nalo picha.
hivi watanzania ushamba utatuisha lini yaani mtu unakwenda kwenye kampuni za tours, self drive unakodisha vogue halafu unapiga nalo picha.
Ueleweki andika kiswahili vizuri.
Hivi Watanzania ushamba utatuisha lini yaani mtu unakwenda kwenye kampuni za Tours, self drive unakodisha Vogue halafu unapiga nalo picha.
Human mind is very flexible and that is magical. Alternatively you could see the place as a venue which doesn't bind any one to it as long as you know what brings you there.Maaana yake nini kufungua tawi la CHADEMA kwenye Bar ya Wa KENYA tena MWEZI WA RAMADHANI.
Au ndio maagizo ya Ndesamburo?