Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Jamani mie niko ndani ya uwanja wa jamhuri na mkutano ushaanza, tuko na zitto kabwe, joshua nassari na wabunge wingine...... Nassari kasindikizwa na madiwani wa arusha....
 
rose ktk manyara anaomba awe chumvi.,wana wa dodoma wanachelewa,na hakuna watu wanaopigika kama wana dodoma uongo wamejibu kweli
 
Back
Top Bottom