Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Kwa nini CHADEMA Lazima impandishe ZITTO jukwaani kila inapoenda?

anakubalika sana,ameshangiliwa sana alipopanda jukwaani,yupo ndani ya mioyo ya watz.

Anaandaliwa kuwa rais. Ni rahisi kuamua kumweka zitto agombee urais kwani CDM hakuna mroho wa madaraka pia CDM wanaangalia calender na saa.

kwa vile chadema inajua impact ya zitto kupanda jukwaa.


ASANTENI SANA KWA MAONI MAZURI, lakini sababu kuu bado hamjaisema!
 
ni kweli kabisa...ni kazi tu ndio inawafanya waishi ivo...hata cdm ikishika dola wataendelea kufatilia mikutano ya wapinzani ccm kama kawaida na kama wanavyofanya hapo jamuhuri...pipooooozzz!!!

Ukiona watu wanafuatilia sana mikutano ya kisiasa ujue kuwa hali ya kiamaisha ni hoi bin taabani!! Ndiyo maana huwa nawashangaa watu wanaobisha kuwa enzi za Mkapa maisha yalikuwa nafuu kuliko sasa.
 
Mkuu kwanza niombe radhi kwa kuniita GAMBA,
Pili mimi sipo bungeni nipo viwanjani nafuatilia mkutano wa CHADEMA, naona idadi ya watu hairidhishi ila sio mbaya ni mwanzo mzuri.
Pia nashangaa kwa nini CDM lazima wamtumie zitto au ndo anasafisha chama nini?

Wewe mpemba mambo ya Tanganyika yanakuhusu nini?
 
Kama Dodoma wameelewa nina hakika hata Lindi,Mtwara,Singida na Pwani nao wataelewa siku si nyingi. Kwa hili 2014 uchaguzi wa serikali za mitaa ambao ni muhimu sana kuelekea uchaguzi mkuu kuna maajabu yatatokea. Nawaomba viongozi wa CDM wasiudharau huu uchaguzi maana CCM ndiyo inaoutumia kujenga nguvu kwenye source ya ushindi.
 
Mkuu kwanza niombe radhi kwa kuniita GAMBA,
Pili mimi sipo bungeni nipo viwanjani nafuatilia mkutano wa CHADEMA, naona idadi ya watu hairidhishi ila sio mbaya ni mwanzo mzuri.
Pia nashangaa kwa nini CDM lazima wamtumie zitto au ndo anasafisha chama nini?

sasa kama wewe sio gamba kwanini zito anakupa presha? Hao makamanda wengine huwaoni?
 
Maandamano ni ya kupinga au kutaka nini? Naona mnasema Mbowe ametangaza maandamano but sioni mahali mnapoeleza ni maandamano ya nini. Tafadhari tujuzeni.
 
Maandamano ni ya kupinga au kutaka nini? Naona mnasema Mbowe ametangaza maandamano but sioni mahali mnapoeleza ni maandamano ya nini. Tafadhari tujuzeni.

Usikwame,
Ni kwenda mwanza.hope ya machemli na mwenzake unayajua.
 
Mkuu kwanza niombe radhi kwa kuniita GAMBA,
Pili mimi sipo bungeni nipo viwanjani nafuatilia mkutano wa CHADEMA, naona idadi ya watu hairidhishi ila sio mbaya ni mwanzo mzuri.
Pia nashangaa kwa nini CDM lazima wamtumie zitto au ndo anasafisha chama nini?
unajua zitto ni nani cdm? angepanda shibuda mungesema oooh mbona shibuda, nyinyi people bwana!!!!
 
Back
Top Bottom