mtendaji wa kijiji
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 533
- 114
Tafadhali Tunaomba Update Za Maandamano Kwa Mkoa Wa Arusha na Wilaya Za Hai, Mwanga Na Same, Pia Wenye Taarifa Za Kukamatwa Viongozi Wa Chadema Maeneo Tajwa Tujuzeni Hapa
NIPO NJIANI NAKUJA kushiriki MAANDAMANO YA ARUSHA.
NINAYO MIKAKE YA KUTOSHA NA MAJI
Tuko njiani kutoka moshi vijijini kuelekea hai makamanda full coaster,morali uko juu!
Unaandamania jfNIPO NJIANI NAKUJA kushiriki MAANDAMANO YA ARUSHA.
NINAYO MIKAKE YA KUTOSHA NA MAJI
Mnaoandamana mnaanza saa ngapi?
Hayo Ni Mamidoli Tu Wa Tz Tutaingia Rodini Hatuogopi
NIPO NJIANI NAKUJA kushiriki MAANDAMANO YA ARUSHA.
NINAYO MIKAKE YA KUTOSHA NA MAJI
Arusha hakuna dalili yeyote ya maandamano, Polisi wamemwambia LEMA kama anajiona ni 'mwanaume' aingize pua barabarani.
Hayo Ni Mamidoli Tu Wa Tz Tutaingia Rodini Hatuogopi
haa haa, sifa ya polis wa tanzania ni kuua raia badala ya kuwalinda!Arusha hakuna dalili yeyote ya maandamano, Polisi wamemwambia LEMA kama anajiona ni 'mwanaume' aingize pua barabarani.
Mbona hamtokei wanachadema tunawasubiri huku mtaani sisi mafidifosi!!
haa haa, hiyo ndo sifa ya polis wa tanzania, kuua raia wasio na hatia.Kama mna familia acheni hela ya matumizi nyumbani hamrudi nyumbani, mtaanzia hospital kisha lupango.