AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Kila kukicha mikutano sijui watanzania tunaelekea wapi
Tunaelekea kwenye Ukombozi, kama baba au mama yako ni Fisadi mjitaarishe kufilisiwa na kusekwa ndani. Mtaiogopa sana mikutano kwani somo la uraia linawaingia Walalahoi sasa kazi kwenu Mafisadi, mkae mkao wa kuliwa