Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,166
- 6,289
Kila kukicha mikutano sijui watanzania tunaelekea wapi
Hii sio facebook umeniskia, muone kwanza
Kila kukicha mikutano sijui watanzania tunaelekea wapi
Kati yamachoko we namba moja.Mikutano kila siku Mwanza? Hebu waacheni wananchi wafanye kazi/wapumzike this w.end. Acheni kuwachosha na upuuzi wenu usio na manufaa kwa wananchi. Kama mmekosa cha kufanya niambieni nitawaapatia.
Mikutano kila siku Mwanza? Hebu waacheni wananchi wafanye kazi/wapumzike this w.end. Acheni kuwachosha na upuuzi wenu usio na manufaa kwa wananchi. Kama mmekosa cha kufanya niambieni nitawaapatia.
Mkuu tupatie vitu kamili kama intellectual bwana, pia usisahau kutupia picha humu.Anahutubia Godbless Lema:anadai, magereza alikutana na kijana under 26 aliyefungwa maisha kwa kesi ya kubambikwa ya ubakaji, japo ukweli ni kuwa kijana huyo alikuwa ana mahasianoya kimapenzi na binti wa Mary Nagu, hivyo alifungwa ili kumkomesha....anaendelea, kwa jinsi watu walivyochoshwa na CCM, JK asipokuwa makini, Salma JK atachukua kadi ya CHADEMA.Slaa anaanza kuhutubia, I'll be back..
Mkuu tupatie vitu kamili kama intellectual bwana, pia usisahau kutupia picha humu.
Mikutano kila siku Mwanza? Hebu waacheni wananchi wafanye kazi/wapumzike this w.end. Acheni kuwachosha na upuuzi wenu usio na manufaa kwa wananchi. Kama mmekosa cha kufanya niambieni nitawaapatia.
Tunaelekea kwenye ukombozi wa kweliKila kukicha mikutano sijui watanzania tunaelekea wapi
Anahutubia Godbless Lema:anadai, magereza alikutana na kijana under 26 aliyefungwa maisha kwa kesi ya kubambikwa ya ubakaji, japo ukweli ni kuwa kijana huyo alikuwa ana mahasianoya kimapenzi na binti wa Mary Nagu, hivyo alifungwa ili kumkomesha....anaendelea, kwa jinsi watu walivyochoshwa na CCM, JK asipokuwa makini, Salma JK atachukua kadi ya CHADEMA.Slaa anaanza kuhutubia, I'll be back..