Georgemotika
Member
- Apr 22, 2012
- 20
- 12
Chama cha demokrasia na maendeleo kitanguruma Leo jiji mwanza, makamanda wataongozwa na dr slaa, lema, kilewo, mawazo, tabasamu, tiziba, pamoja na viongozi mbalimbali Wa jiji la mwanza. Kabla ya hapo Kamanda lema, kilewo,mawazo watakuwa kwenye mkutano Wa kisesa kufungua ofisi ya kata pamoja na kuwakaribisha wanachama wapya. Mungu awabariki makamanda wetu, nitawaletea Yale yote yayakayo kuwa yanajiri kwenye mikutano hii.