Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

serikali iache kuhadaa watanzania. kuna vifaa vya kuweza kuscan documen 1000 kwa very short time.
sema tu kwamba TUME imejipanga vyema kuembarass zoezi la uchaguzi ili kuisaidia ccm ishinde.
Ninahisi hata hizo vurugu zinazoanzishwa mahala mahala ni matokeo ya kazi nzuri ya green guards wanaojivika alama za vyama vya upinzani
 
Dr. slaa kafanya kazi kubwa sana, ametoka bungeni kaingiza zaidi ya watu kumi, muhimu wapinzani wamtafutie jimbo agombee pakitokea upenyo.Uzuri kina Marando wapo hawatashindwa kumtoa mtbunge mmoja CCM na Slaa arudi bungeni tena
 
Taarifa toka kwa insider, zinripoti kuwa mkurugenzi Kiravu atakuwa hapo punde kuingilia kati na kuweka sawa hali tete hapo Loyola jimbo la ubungo.

Kwa namna moja au nyingine, naamini hii italeta faraja kwa wanachi kwa kuwa in black and white they have to surrender kwa nguvu ya umma, na at last, usingizi unaweza ukajakaja.

Na kulala ndo kutakuwepo kabisa baada ya kujua pia ya Kawe.

Midamida nitakuja na mengine nikipata.
 
Basi kama ni hivyo nchi haitatawalika. Huwezi ingia ikulu kwa damu ukasalimika.

Sumaye alishasema, aliyeingia madarakani kwa kuchafua wenzake kwa kalamu, akiingia madarakani atatumia risasi, yametimia
 
ChademaTz Jimbo la Mbeya Mjini - UBUNGE: Joseph Mbilinyi (CHADEMA) 46,411 Benson Mpesya (CCM) 24,327. Nguvu ya Umma Imeongea. #Uchaguzi #Tanzania
 
Dr. slaa kafanya kazi kubwa sana, ametoka bungeni kaingiza zaidi ya watu kumi, muhimu wapinzani wamtafutie jimbo agombee pakitokea upenyo.Uzuri kina Marando wapo hawatashindwa kumtoa mtbunge mmoja CCM na Slaa arudi bungeni tena



Mkuu unanitisha hao kina marando watamtoaje tena mtu bungeni isijekuwa kwa ndumba,lakini kama kwa sheria hapo hata mimi nitasupport.
 
Kama Ubungo wamekubali kuhesabu upya tukubali tumeliwa.Hakuna sheria inayoruhusu hicho kitu.Wamekubalije?

Angalia Kigoma mjini wamerudia kuhesabu tukaliwa.

Kura za kurudia zimeshachakachuliwa
 
Ufanyaji kazi wa NEC hauko huru,unatia shaka sana ni wazi wanaisaidia sisiem
 
mnyika jj kijana wa A 9 form four 1998,goooooooo jj mnyika

Taarifa zako siyo Sahihi. Mnyika alipata A's 10 na si 9. Mimi nilkuwa form 6 Maua wakati Mnyika akimaliza Form IV. Pia tulikuwa wote "Umoja House" moja ya majina ya mabweni Maua Seminary
 
Ufanyaji kazi wa NEC hauko huru,unatia shaka sana ni wazi wanaisaidia sisiem
Msimamizi wa Uchaguzi wa Ubungo alikuwa akihojiwa na TBC habari kwa ufupi saa 5 usiku huu anasema utaratibu wa matokeo tume ndiyo umebadilika na ameeleza kuwa kuchelewa kwao hakuna nia ya kubadili matokeo kwa vile matokeo yote chadema wanayo kupitia kwa mawakala wao na wanajua matokeo yao kwa hiyo akibalisha wanaweza kusababisha matokeo.
 
Taarifa zako siyo Sahihi. Mnyika alipata A's 10 na si 9. Mimi nilkuwa form 6 Maua wakati Mnyika akimaliza Form IV. Pia tulikuwa wote "Umoja House" moja ya majina ya mabweni Maua Seminary
kaka umesahau kuwa alikuwa na C ya kiingereza?japo ni mkali wa english na alikuwa mwenyekiti wetu wa debating club?mimi nilikuwa ujamaa nanyi umoja ni jirani zetu,unakumbuka mambudi na vinyangarika?usimtaje mzee mbundu hapa,goooooooooooo jj mnyika unaweza sana
 
yani kigoma mjini wameiba wazii kabisa!!kwanini lakini nyie wabunge mnan'ga'ngania majimbo
 
Ni bora aende vijana wake wakamweleze ukweli kuwa uchakachuaji hauwezekani tena wamtangaze tu Mnyika
 
Tunashukuru sana mkuu kwa update! Mpaka sasa Omutwale umerudisha amani yetu,sasa naweza nkakaa nikala kikashuka,ila angalia wasitumie laptops zile za Upanga,kuna IT tata kule,zina software hatari! Mkuu all the best, Myika is the MP, plus sugu aka mr2 kamzidi jamaa kura 22,000. Myika tunataka difference ya 21,000 baadae tutareserve kura zetu za akiba kama elfu99 zitumike katika uchaguzi mdogo wowote utakaotokea. Mafisadi wakome!
 
Wapendwa wapenda mabadiliko chanya na maendeleo. Asanteni sana kwa msukumo wenu mnaotoa kwa tume itoe matokeo haraka. UKWELI NI ULE ULE; kijana wenu J.J MNYIKA ni mshindi. Lakini jambo linalochelewesha kuwapeni hii RAHA RASMI ni ukataratibu mbovu wa NEC unaotaka kwanza nakala za matokeo toka vituoni ziwe scanned na kuhifadhiwa ktk comp ndo kisha wajumlishe na kutoa matokeo. NEC haikuwa imejipanga vema ktk utaratibu huu maana awali walikuwa wanatumia comp &scanner 1 tu! jambo lilosababisha zoezi kwenda kwa kasi ya kobe. Baada ya kazi yenu nzuri ya kutoa msukumo nec imeongeza vifaa na imehafiki software mbadala (but safe) kutumika kujumlisha matokeo. Lkn zoezi kwa ujumla ni kubwa mno na si la msingi hata kidogo kuwa kikwazo kutoa matokeo. Imagine kuscan na kuhifadhi copies kama 1300! Alafu ndo muje kujumlisha na kutoa matokeo! NGUVU YENU ITASIKIKA NA ITATUSAIDIA KUIFANYA TUME kuruka utaratibu huu wa kidhalimu.


Wacha owongo na kutupagawisha, wewe yaani hao NEC watumie scanner moja are you joking us? Ni wizi kwa kwenda mbele tu hapo hawana ujanja hivi sasa wanatafua mbinu ya wizi lakini Watanzania tusikubali kwanza tayari damu imemwagika kitu ambacho hakikupaswa kutokea hii kafara lazima iende na walioshindwa. Tumekuwa kama Somalia .... milkuwa mnamcheka Mugabe et al vipi mkwere?
 
KIRAVU: "Tatizo kubwa ni mfumo wa kuweka zile taarifa kwenye kompyuta na kutuma makao makuu."

Anaongea akiwa na uchovu wa safari ndefu alikotoka pamoja kugubikwa na usingizi.
Sasa wanatumia vinakilishi vyao kuingiza taarifa zote kwenye server yao.

Wananchi wapo hapo kwa zaidi ya saa 18, anayeingia ndani hamna kutoka.
Huo ndo msimamo wa wananchi. wengine wakiwa na uchovu wa siku mbili, vyakula navyo vimeagizwa.

Reporter anasema nafuu alale kituoni kuliko kutoka na kupokea kichapo.

Lakini leo ndio leo, lazima kitaeleweka, hata kiravu mwenyewe kwenda msalani ni sharti asindikizwe na FFU.

Naanza kuona revolution toka kwa wananchi.

SOURCE: 98.0 WAPO Radio

Mida mida.
 
Wapiganaji, nakwambia kama kuna timu ya kampeni ilijipanga vema, naweza sema kwa uhakika Mnyika Campaign Team-2010 basi inashika no. 1 si tu Tz bali Africa. Huwezi amini IT Unit yetu ina Certified Hakers, Oracle Database Cert Eng, CCNA, CCNP na Legal Unit ina LLB na MLB kama za Obama. Labda niwadokeze, tuliweza kumaliza kujumlisha kura zote by jana saa 9 ucku simply b'coz IT ilikwisha tengeneza software ya tallying long tm ago. Na tayari imepata soko dont ask me where... NEC wanatumia Ms Xcel!
 
Back
Top Bottom