huwa ukinyimwaga posho akili inakurudia kumbe!!Mkuu, Mungu ni wa wote, kwenye ili Mungu anatuachia viumbe vyake tutumie akili zetu alizotupa ndio zituongoze kwenye mambo yetu, binadamu sio kama Nyumbu!
huwa ukinyimwaga posho akili inakurudia kumbe!!
Leo ni siku ya wazee, huyu mzee mumrudishe kwao Ludewa na ile choper yenu akapumzike bana!!
kichenchede.Nimeongea na wakazi wa Igunga, wengi wanasema kwa kweli kesho ni siku ya kuiadhibu CDM.
Wananiambia msidhani sisi wana Igunga ni wajinga kiasi hicho, hatuwezi kumpeleka Chui katika zizi letu lenye mbuzi.
Miaka yote hata kabla sijazaliwa hapa Igunga tumeishi kwa amani na upendo sikuwahi kuona vurugu kama hizi za kuwakata mapanga binadamu wenzao nakufanyiwa vitendo vya kinyama kumwagia watu Tindikali
time will speak for itself if magamba will continue to dominate or makamanda it our time to shine. God Bless Tz, God Bless Igunga
Hakika, utakuwa mfano mchungu kwao, hawatopenda yawakute tena.Kwa sababu itakuwa mfano sio?
CCM wanajua wanapoteza Igunga. Ndo maana wanampeleka mwizi wa kura Mkapa akaokoe jahazi kwa wizi.
Aliua Zanzibar anataka aue na Igunga.
This time atafulia tu.
naunga mkono mkuu"kila la heri cdmNawatakia cdm kila la kheri.