UPDATES: Kikao Cha Waziri Mkuu na Madaktari CPL (Central Pathology Laboratory)

Madaktari wa jeshi wameandaliwa kuwatibu majeruhi wa vita kwenye uwanja wa mapambano na kuwaandaa ili wasafirishwe kwenda kwa hawa wa kiraia waliogoma kwa matibabu zaidi. So kwa ufupi hawa waliogoma wanaanzia pale wale wa jeshi wanapoishia. Sasa unapowatoa hawa wa kiraia halafu unaleta wa jeshi unatarajia wafanye nini kama sio kuwaonea tu?


Labda tu nikujuze kidogo.

Kumbuka kuwa duniani kooote hospital za jeshi ndio hospital kuu na mara zote zinakuwa na kila kitu na wataalamu wengi sana na wenye uwezo mkubwa na zinakuwa ni za rufaa. Hata viongozi wa nchi wakiumwa mara zote wanatibiwa katika hospital za kijeshi kutokana na usalama na weledi wa maDr wao.

Nakumbuka hata Tz , Jeshi lilisomesha sana madaktari wake enzi hizo na kuiimarisha hospital yao ya lugalo.

Pasi na shaka yoyote huko Tz lugalo ni hospital ya rufaa pia kijeshi. Hakuna mtu anayeweza kupewa uhamisho toka lugalo kwenda muhimbili kwa matibabu zaidi.

Hata mgomo wa 2003 wa madaktari hao hao wa Lugalo walishika muhimbili na kuiendesha mpaka mgogoro ulipoisha

Chunguza hilo.


 
Dr. Ulimboka amepokewa kama shujaa..ukumbi ulilipuka kwa furaha ya aina yake..yupo ndani, mstari wa mbele kabisa
 
Kwa mujibu wa spika, kamati iliyokuwa inachunguza mgogoro wa madaktari imekuja na mapendekezo mengi, mojawapo ni kubadilisha uongozi wa wizara ambao mamlaka za juu umeridhia na mchana huu itakuja na majibu ya utekelezaji
 
Kwanza aanze kwa kumtambua Dr.Ulimboka. Udokta wake si wa kuchaguliwa jimboni ambao ukifukuzwa kwenye chama nao unatoweka. Afute akili zake za kisiasa na leo asijetumia neno TUNAJIPANGA.
 
Juu ya kikao na PM yajulikana, ila star wanarusha BUNGE-live hivi sasa.
 
pinda nilimuona kiongozi anayejali alipowalilia albino pale bungeni, niliona jinsi alivyonauchungu dhidi ya vifo vya raia wasio na hatia. Leo nilitegemea angemwaga machozi mengi zaidi ya yale ya maalbino kwa vifo vinavyoendelea kutokea kwa uzembe wa serikali yake, hapa ndipo nashuhudia unafki wa pinda kuwa alilia tu bungeni kwa unafki mkubwa na sio uchungu wa upotevu wa roho za raia
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mhe Spika pamoja na mambo mengine mengi kubwa ametoa na kuomba kwa moyi wa dhati kabisa kwa niaba ya Bunge lake tukufu pamoja na Watanzania kwa ujumla Madaktari warudi kwenye vituo vyao vya kazi.

Kimsingi Spika kasema jana walipokea taarifa ya kamati ya Huduma za Jamii na kwa taarifa hiyo ilijadiliwa mpaka saa 6 usiku na baada ya majadiliano Spika alipewa jukumu la kumtafuta Raisi pamoja na PM ili waelezwe ukweli wa jambo na madai ya msingi ya Madaktari. Spika kasema kutokana na kazi iliyonywa na kamati kwa japo ni kwa muda mfupi ila Kamati imegundua kuwa madai ya madaktari ni genuine na yanahitaji attention ya Serikali lakini kama hiyo haitoshi Spika kasema mawasiliano au mazungjmzo yaliyokuwa baina ya Madaktari na Wizara husika ambayo ndiyo yameelekea kusababisha yote hayo nayo yatahiyaji yafanyiwe kazi na wahusika wachukuliwe hatua

Spika kamalizi tena kwa kuwaomba Madaktari warudi na anaamini mpaka mchana swala lao linamaliziwa na Bunge nalo litasimamie hilo siku ya hilo.
 
anasema serikali imekubaliana na mapendekezo ya kamati ya bunge ya huduma za jamii iliyoenda kukutana na madaktari, kwa maana ya rais na waziri mkuu
Vipi bana.............mbona unaharaka sana!!!
Hebu angalia hizi sura hapa!!!
Anne%20Makinda(3).jpg

pm.jpg
 
Kwa mujibu wa spika, kamati iliyokuwa inachunguza mgogoro wa madaktari imekuja na mapendekezo mengi, mojawapo ni kubadilisha uongozi wa wizara ambao mamlaka za juu umeridhia na mchana huu itakuja na majibu ya utekelezaji

Usipotoshe watu! Hajaongelea chochote juu ya kufumuliwa wizara ya afya.
 
Labda tu nikujuze kidogo.

Kumbuka kuwa duniani kooote hospital za jeshi ndio hospital kuu na mara zote zinakuwa na kila kitu na wataalamu wengi sana na wenye uwezo mkubwa na zinakuwa ni za rufaa. Hata viongozi wa nchi wakiumwa mara zote wanatibiwa katika hospital za kijeshi kutokana na usalama na weledi wa maDr wao.

Nakumbuka hata Tz , Jeshi lilisomesha sana madaktari wake enzi hizo na kuiimarisha hospital yao ya lugalo.

Pasi na shaka yoyote huko Tz lugalo ni hospital ya rufaa pia kijeshi. Hakuna mtu anayeweza kupewa uhamisho toka lugalo kwenda muhimbili kwa matibabu zaidi.

Hata mgomo wa 2003 wa madaktari hao hao wa Lugalo walishika muhimbili na kuiendesha mpaka mgogoro ulipoisha

Chunguza hilo.



UNAOTA?
Unajua Lugalo wanapeleka cases Muhimbili?
Unachotaka kusema ni nini? Kwamba wanajeshi walisaidia kutibu pale madaktari waligoma!?Unajua kwa mfano madaktari wa jeshi walipoenda Muhimbili, waliingia na jeuri ya amri za kijeshi, manesi waliwadindia maana hawajazoea amri bali majadiliano na kushauriana na madaktari (consultations). Ndi sababu pia kwanini madaktari wa jeshi walishindwa.
 
Labda tu nikujuze kidogo.

Kumbuka kuwa duniani kooote hospital za jeshi ndio hospital kuu na mara zote zinakuwa na kila kitu na wataalamu wengi sana na wenye uwezo mkubwa na zinakuwa ni za rufaa. Hata viongozi wa nchi wakiumwa mara zote wanatibiwa katika hospital za kijeshi kutokana na usalama na weledi wa maDr wao.

Nakumbuka hata Tz , Jeshi lilisomesha sana madaktari wake enzi hizo na kuiimarisha hospital yao ya lugalo.

Pasi na shaka yoyote huko Tz lugalo ni hospital ya rufaa pia kijeshi. Hakuna mtu anayeweza kupewa uhamisho toka lugalo kwenda muhimbili kwa matibabu zaidi.

Hata mgomo wa 2003 wa madaktari hao hao wa Lugalo walishika muhimbili na kuiendesha mpaka mgogoro ulipoisha

Chunguza hilo.


Kaka, hizo ni sumu (kama huna uhakika sio lazima uandike)...kuwa hakuna anayehamishwa kutoka lugalo kwenda MNH kwa matibabu zaidi...Lugalo haina super specialities zaidi ya OT, General surgery na general physicians..uhitaji kuwa daktari kulijua hilo
 
waziri mkuu hajaingia bado inakaribia nusu saa toka muda uliopangwa kuanza
 
Mi nlitaka nijue kama mnafuatilia mambo, hahahahahaaaaa thanx kwa kufuatilia
 
Back
Top Bottom