Katika wiki ya pili ya kampeni uchaguzi mdogo wa jimbo la arumeru East vyama vya siasa vimeendelea kuwanadi wagombea wao kwa wapiga kura wa jimbo hilo. Hadi kufikia sasa CCM ndiyo chama pekee ambacho kimejihakikishia kushinda uchaguzi huo kupitia mgombea wake Sioi Sumari.
Chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) kinaomba huruma ya wananchi wa jimbo hilo angalau kipate japo kura 3500 ili kujenga imani kwa wafadhili wao wa nje ambao kwasasa wameanza kukipa mkono wa kwa heri baada ya kugundua chama hicho hakina uwezo wa kuongoza dola ya Tanzania.
Kutokana na Chadema kukosa mvuto na uungwaji mkono mashabiki na wapenzi wake wameanza kukosa updates za uhakika kutoka arumeru east kutokana na kushuku ama kupoteza umaarufu wa mgombea wao Mr Nassary kila kukicha. Chanzo kikubwa cha kudorora kwa kampeni hizo ni ukata unachokikabili chama cha Chadema na ufisadi wa ruzuku unaofanywa na viongozi wakuu wa chama hicho.
Kwapamoja tuiunge mkono CCM kuendelea kutawala nchi hii kwa maendeleo ya Watanzania na tuepukana na vibaraka wa ukoloni Chadema ambao wanafanya siasa kwa maslahi yao binafsi.
Kwa mwaka 2012 Wanaarumeru watakuwa wakwanza kuwakataa chadema na ukoloni mambo leo wao
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake
Chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) kinaomba huruma ya wananchi wa jimbo hilo angalau kipate japo kura 3500 ili kujenga imani kwa wafadhili wao wa nje ambao kwasasa wameanza kukipa mkono wa kwa heri baada ya kugundua chama hicho hakina uwezo wa kuongoza dola ya Tanzania.
Kutokana na Chadema kukosa mvuto na uungwaji mkono mashabiki na wapenzi wake wameanza kukosa updates za uhakika kutoka arumeru east kutokana na kushuku ama kupoteza umaarufu wa mgombea wao Mr Nassary kila kukicha. Chanzo kikubwa cha kudorora kwa kampeni hizo ni ukata unachokikabili chama cha Chadema na ufisadi wa ruzuku unaofanywa na viongozi wakuu wa chama hicho.
Kwapamoja tuiunge mkono CCM kuendelea kutawala nchi hii kwa maendeleo ya Watanzania na tuepukana na vibaraka wa ukoloni Chadema ambao wanafanya siasa kwa maslahi yao binafsi.
Kwa mwaka 2012 Wanaarumeru watakuwa wakwanza kuwakataa chadema na ukoloni mambo leo wao
Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake